Wabunge wa viti maalum kaeni kimya kuficha udhaifu wenu

Wabunge wa viti maalum kaeni kimya kuficha udhaifu wenu

SN.BARRY

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
4,038
Reaction score
8,929
Tangu wiki hii ianze tumeshuhudia ushauri wa ajabu sana kutoka kwa Wabunge wa viti maalum. Kila wanachoongea ni pumba tupu hadi unajiuliza hawa watu walipatikana vipi.

Ushauri wangu kaeni kimya maadam mshahara wa milioni 11 unaingia kila mwezi. Biblia imeandika "HATA MPUMBAVU AKINYAMAZA HUHESABIWA HEKIMA".

Fuateni nyayo za baadhi ya wabunge wenzenu humo, hawajawahi kuchangia chochote kwao bora kugonga meza kuliko kusimama na kuongea " utumbo wa kuku".
 
Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.

Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?

Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani
 
Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.

Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?

Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani
Unachochea ili uelekeo urejee tulikotoka na ulipokwamia,kamwe huko hatuta rejea na tutasonga katina uelekeo uliobora zaidi.
 
Screenshot_20210527-180741.png
 
Unachochea ili uelekeo urejee tulikotoka na ulipokwamia,kamwe huko hatuta rejea na tutasonga katina uelekeo uliobora zaidi.
Chini ya serikali ya haki na utengamano wa kitaifa.
 
Tangu wiki hii ianze tumeshuhudia ushauri wa ajabu sana kutoka kwa Wabunge wa viti maalum. Kila wanachoongea ni pumba tupu hadi unajiuliza hawa watu walipatikana vipi.

Ushauri wangu kaeni kimya maadam mshahara wa milioni 11 unaingia kila mwezi. Biblia imeandika "HATA MPUMBAVU AKINYAMAZA HUHESABIWA HEKIMA".

Fuateni nyayo za baadhi ya wabunge wenzenu humo, hawajawahi kuchangia chochote kwao bora kugonga meza kuliko kusimama na kuongea " utumbo wa kuku".
Mkuu heshima ni kitu cha bure- unatoa wapi mamlaka ya kuyaita mawazo ya mtu mwingine mawazo ya ajabu- utakuwa hujazaliwa wewe ulikuja duniani hapa kwa njia ya upasuwaji.
 
Mkuu heshima ni kitu cha bure- unatoa wapi mamlaka ya kuyaita mawazo ya mtu mwingine mawazo ya ajabu- utakuwa hujazaliwa wewe ulikuja duniani hapa kwa njia ya upasuwaji.
Ungekuwa unafatilia usingetetea huo ujinga. Hao watu wanatakiwa kushtakiwa na mishahara/kodi za wananchi warudishe.
 
Mkuu heshima ni kitu cha bure- unatoa wapi mamlaka ya kuyaita mawazo ya mtu mwingine mawazo ya ajabu- utakuwa hujazaliwa wewe ulikuja duniani hapa kwa njia ya upasuwaji.
Nawewe mbona nawewe unamshutumu.
 
Mkuu haijalishi- kutoa mawazo ni haki ya asili. na KUHUKUMU ni haki ya Mungu peke yake. Wewe ni nani duniani hapa? Jiheshimu.
Tofautisha mambo ya Mungu na mambo ya siasa. Ukiingia kwenye siasa ni kama kuuza utumbo wa mbuzi lazima unuke.
 
It's really shameful to see that happening.
 
Tangu wiki hii ianze tumeshuhudia ushauri wa ajabu sana kutoka kwa Wabunge wa viti maalum. Kila wanachoongea ni pumba tupu hadi unajiuliza hawa watu walipatikana vipi.

Ushauri wangu kaeni kimya maadam mshahara wa milioni 11 unaingia kila mwezi. Biblia imeandika "HATA MPUMBAVU AKINYAMAZA HUHESABIWA HEKIMA".

Fuateni nyayo za baadhi ya wabunge wenzenu humo, hawajawahi kuchangia chochote kwao bora kugonga meza kuliko kusimama na kuongea " utumbo wa kuku".
Hapo washapewa semian miezi miwili, yaani jiwe alituletea vilaza wa mwisho kabisa, hii nchi inahitaji kuombewa sana,
 
Viti maalumu ni vya kina mama kujaribu ku-balance mfumo dume, na unajua hulka ya kina mama ni kudemka.....basi waache wademke kwani nini bhana...
 
Back
Top Bottom