SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,038
- 8,929
Tangu wiki hii ianze tumeshuhudia ushauri wa ajabu sana kutoka kwa Wabunge wa viti maalum. Kila wanachoongea ni pumba tupu hadi unajiuliza hawa watu walipatikana vipi.
Ushauri wangu kaeni kimya maadam mshahara wa milioni 11 unaingia kila mwezi. Biblia imeandika "HATA MPUMBAVU AKINYAMAZA HUHESABIWA HEKIMA".
Fuateni nyayo za baadhi ya wabunge wenzenu humo, hawajawahi kuchangia chochote kwao bora kugonga meza kuliko kusimama na kuongea " utumbo wa kuku".
Ushauri wangu kaeni kimya maadam mshahara wa milioni 11 unaingia kila mwezi. Biblia imeandika "HATA MPUMBAVU AKINYAMAZA HUHESABIWA HEKIMA".
Fuateni nyayo za baadhi ya wabunge wenzenu humo, hawajawahi kuchangia chochote kwao bora kugonga meza kuliko kusimama na kuongea " utumbo wa kuku".