Wabunge wa viti maalum kaeni kimya kuficha udhaifu wenu

Viti maalumu ni vya kina mama kujaribu ku-balance mfumo dume, na unajua hulka ya kina mama ni kudemka.....basi waache wademke kwani nini bhana...
Unataka kusemaje kuhusu Ile viti maalum ya Bashiru na Polepole mkuu?πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Hivi viti maalumu vinasaidia nini? Vinajaza watu wengi bungeni bila sababu
 
Madaraja, mabwawa, sgr zihitaji Katiba mpya
 
Kinuju, tofauti yako na zero brain ni haipo.
 
Kama mtoa mada unalenga hoja ya Mwanaisha Ulenge, utakuwa umefeli kwani alichokisema ni kweli, chombo cha kuisimamia serikali kinafanya kazi yake sawasawa?
 
Viti maalum vifutwe, ni matumizi mabaya sana ya pesa za walipa kodi.
Ni matumizi mabaya ya nguvu kazi, watu wanalipwa pesa nyingi kwa kupiga meza. Nguvu hiyo ingetumika shambani ingefaa.
 
Hivi viti vifutwe wagombee majimboni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…