Unataka kusemaje kuhusu Ile viti maalum ya Bashiru na Polepole mkuu?ππViti maalumu ni vya kina mama kujaribu ku-balance mfumo dume, na unajua hulka ya kina mama ni kudemka.....basi waache wademke kwani nini bhana...
Hizo ni kwenye zile nafasi kumi za mheshimiwa...Unataka kusemaje kuhusu Ile viti maalum ya Bashiru na Polepole mkuu?ππ
Madaraja, mabwawa, sgr zihitaji Katiba mpyaSiyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.
Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?
Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani
Kinuju, tofauti yako na zero brain ni haipo.Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.
Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?
Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani
Ni matumizi mabaya ya nguvu kazi, watu wanalipwa pesa nyingi kwa kupiga meza. Nguvu hiyo ingetumika shambani ingefaa.Viti maalum vifutwe, ni matumizi mabaya sana ya pesa za walipa kodi.
Huyo mbunge hajui kazi yake, au kaingia bungeni baada ya serikali kujibinafsisha kazi za bunge.Sasa nini maana ya bunge kusimamia serikali au ndo kujifukuza kwenyewe
Hivi viti vifutwe wagombee majimboniTangu wiki hii ianze tumeshuhudia ushauri wa ajabu sana kutoka kwa Wabunge wa viti maalum. Kila wanachoongea ni pumba tupu hadi unajiuliza hawa watu walipatikana vipi.
Ushauri wangu kaeni kimya maadam mshahara wa milioni 11 unaingia kila mwezi. Biblia imeandika "HATA MPUMBAVU AKINYAMAZA HUHESABIWA HEKIMA".
Fuateni nyayo za baadhi ya wabunge wenzenu humo, hawajawahi kuchangia chochote kwao bora kugonga meza kuliko kusimama na kuongea " utumbo wa kuku".
Hawana faida yoyote bungeniNi upotevu wa fedha za wananchi.