Mzee wa SUP
Member
- Mar 19, 2012
- 62
- 18
Habari ndugu wa jf..
Hapa chuoni kwetu MZUMBE kuna mbunge wa viti maalum-CCM anatokea Singida, kwa bahati mbaya kila nikijaribu kujua jina lake nashindwa kulipata.
Kozi ya CHRM-certificate of Human Resources and Management.Watu wanaesoma naye wanathibitisha ya kwamba hakuwai kuonekana kwenye TEST yeyote ile lakini Course zake amepata alama zisizopungua B, na wala hajafanya UE lakini alama zake hazipungua B.Kwa maana hiyo hana SUP wala DISCO.
Jamani hii elimu ya bongo kwisha kabisa.
Hapa chuoni kwetu MZUMBE kuna mbunge wa viti maalum-CCM anatokea Singida, kwa bahati mbaya kila nikijaribu kujua jina lake nashindwa kulipata.
Kozi ya CHRM-certificate of Human Resources and Management.Watu wanaesoma naye wanathibitisha ya kwamba hakuwai kuonekana kwenye TEST yeyote ile lakini Course zake amepata alama zisizopungua B, na wala hajafanya UE lakini alama zake hazipungua B.Kwa maana hiyo hana SUP wala DISCO.
Jamani hii elimu ya bongo kwisha kabisa.