Pre GE2025 Wabunge wa viti maalumu Dkt Bashiru na Oliva waungana kwenye mkutano wa hadhara

Pre GE2025 Wabunge wa viti maalumu Dkt Bashiru na Oliva waungana kwenye mkutano wa hadhara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nkarahacha

Member
Joined
Oct 3, 2023
Posts
17
Reaction score
38
Wabunge wa viti maalumu Dkt Bashiru Ally na Oliva Semuguruka wameungana na kufanya mkutano wa hdhara uliofanyika katika manispaa ya Bukoba.

Wabunge hao wameitisha mkutano huo kwa lengo la kuyasema yale yaliyotekelezwa na serikali ya awamu ya sita.

Dkt Bashiru ni kwa mara ya kwanza kushiriki mkutano wa hadhara kijimbo mkoani Kagera tangu ateuliwe na rais kuwa mbunge wa viti maalumu huku mhe,Oliva ikiwa ni utamaduni wake wa kufanya mikutano mkoani Kagera.

IMG-20240723-WA0070.jpg
IMG-20240723-WA0080.jpg
 
Wabunge wa viti maalumu Dkt Bashiru Ally na Oliva Semuguruka wameungana na kufanya mkutano wa hdhara uliofanyika katika manispaa ya Bukoba.

Wabunge hao wameitisha mkutano huo kwa lengo la kuyasema yale yaliyotekelezwa na serikali ya awamu ya sita.

Dkt Bashiru ni kwa mara ya kwanza kushiriki mkutano wa hadhara kijimbo mkoani Kagera tangu ateuliwe na rais kuwa mbunge wa viti maalumu huku mhe,Oliva ikiwa ni utamaduni wake wa kufanya mikutano mkoani Kagera
Viti maalum ni vya K, sasa na bashiru kaota K?
 
Umekaribia muda wauchaguzi sasa wanajiandaa na uchaguzi hawana hakika kama watapewa tena ubunge wa bure !
Siasa bhana duuu!
 
Wabunge wa viti maalumu Dkt Bashiru Ally na Oliva Semuguruka wameungana na kufanya mkutano wa hdhara uliofanyika katika manispaa ya Bukoba.

Wabunge hao wameitisha mkutano huo kwa lengo la kuyasema yale yaliyotekelezwa na serikali ya awamu ya sita.

Dkt Bashiru ni kwa mara ya kwanza kushiriki mkutano wa hadhara kijimbo mkoani Kagera tangu ateuliwe na rais kuwa mbunge wa viti maalumu huku mhe,Oliva ikiwa ni utamaduni wake wa kufanya mikutano mkoani Kagera.

Unaweza ukawa huna akili ama dishi lako limeyumba!
Viti maalum Bashiru?
Huma akili kabisa.
 
Ubunge wa bure wa Bashiru alipewa na Jpm na lengo lilikuwa ni 'kumchunuku' cheo kikubwa.

Lakini ndivyo hivyo tena, hakuna aijuaye kesho yake.
 
Back
Top Bottom