Pre GE2025 Wabunge wa viti maalumu Dkt Bashiru na Oliva waungana kwenye mkutano wa hadhara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hatimayee....
 
Wanayasema yapi hayo yasiyoendana mpaka yasemewe
 
JPM hakuwahi kumpa Bashiru ubunge

Basi tuziweke kumbu kumbu zetu kwenye usahihi.
Wewe upo sahihi, cheo cha mwisho alichogawiwa na Magu ni ukatibu mkuu kiongozi na baada ya muda mfupi Magu akafariki.
Nimekumbuka, baada ya kutolewa ukatibu mkuu kiongozi ndiyo akapachikwa huo Ubunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…