bukoba04
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 1,402
- 1,291
wadau nimejiunga kidogoa mida hii TBC nakutana na hii mechi ya hawa watu wa mjengoni...
mpra unavutia kwa kweli, ni dk ya 18, wabunge wa yanga wanaongoz 3 kwa sifuri...
Dhumuni la mechi hii ni kuchangisha michango kwa ajili ya wahanga wa tetemeko mkoa wa kagera....
ninachokiona ni wanbunge wa ukawa wanashingiliwa kwa wingi kuliko wa ccm, hata wa ccm akifunga bado apewi shavu la kutosha...
mpra unavutia kwa kweli, ni dk ya 18, wabunge wa yanga wanaongoz 3 kwa sifuri...
Dhumuni la mechi hii ni kuchangisha michango kwa ajili ya wahanga wa tetemeko mkoa wa kagera....
ninachokiona ni wanbunge wa ukawa wanashingiliwa kwa wingi kuliko wa ccm, hata wa ccm akifunga bado apewi shavu la kutosha...