bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Wabunge wa Yanga wamewafunga wabunge wa Simba kwa idadi ya magoli 5 na kuwasaidia Young African club kulipa goli 5 walizofungwa na Simba tarehe 6 Mei 2012.
Nlichokiona kwa mpira walionyesha wabunge inaonesha Tanzania ya Zamani ilikua na wacheza wazuri sana kuanzia miili ya kimichezo mpaka uzalendo.
Kuna beki moja ya wabunge wa Yanga ndo alikua captain anasifa zote za kuwa beki yaonesha zama zake washambuliaji walipata shida sana kumpita au hata kumsogolea walikua hawamsogelei..
Wachezaji wa leo wajifunze kutoka kwa wakongwe hawa tena mpira wa sasa pesa zipo za kutosha.
Je kushinda leo kwa wabunge imetupa mwanga/taswira ya kitakachotokea 1 octoba 2016???..
Nlichokiona kwa mpira walionyesha wabunge inaonesha Tanzania ya Zamani ilikua na wacheza wazuri sana kuanzia miili ya kimichezo mpaka uzalendo.
Kuna beki moja ya wabunge wa Yanga ndo alikua captain anasifa zote za kuwa beki yaonesha zama zake washambuliaji walipata shida sana kumpita au hata kumsogolea walikua hawamsogelei..
Wachezaji wa leo wajifunze kutoka kwa wakongwe hawa tena mpira wa sasa pesa zipo za kutosha.
Je kushinda leo kwa wabunge imetupa mwanga/taswira ya kitakachotokea 1 octoba 2016???..