Chadema ina wabunge wachache bungeni lakini wao wamekuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya Tanzania kuliko mbunge yeyote yule wa CCM. Kulikuwa na jitihada kidogo za Anna Kilango (mke wa Malecela) na Seleli, lakini kila mara wakionywa kutohoji chochote kile bungeni basi wananyamaza kimya. Wabunge wa CCM kama kundi wameliangusha bunge letu, wingi wao ndani ya bunge wanautumia ili kulinda maslahi ya CCM badala ya yale ya nchi, kwa hiyo lazima wote tuwaone kama wabunge uchwara. Mimi naamini kabisa kama wangeweka maslahi ya nchi na ya wapiga kura waliowachagua basi hali ya Tanzania isingefikia hapa ilipo leo, wangekuwa wakali kuikemea serikali kwa uchafu chungu nzima ambao unaendelea kila kukicha, lakini si hivyo wao wameweka mbele maslahi yao na ya CCM ufisadi ukawa unaota mizizi kila kona, wao wako kimya tu. Mikataba ya kifisadi inasainiwa na hata waliponyimwa kuiona mikataba ya uchimbaji wa dhahabu wao hawakusema lolote ili kuishinikiza serikali. Matokeo yao ya kuunyamazia ufisadi wote tunayajua.
Sijui kama ulipata bahati ya kuisoma hii article hapa chini ambayo inafanana sana na mengi niliyoyaandika jana katika thread hii. Huyu aliyeandika ripoti hii ni mkaguzi mkuu wa serikali ambaye ana haki ya kuona documents zote za TANESCO kuhusiana na mambo mbali mbali. Angeweza kabisa kuwalaumu watendaji wakuu wa TANESCO kwamba ndio wanaohusika na kuzorota kwa shirika hilo, lakini amesema matatizo mengi yamesababishwa na wizara ambayo kwa maoni yangu ilikuwa inawasikiliza watu kama fisadi Mkapa katika maamuzi yao. Kama huwezi kuamini ripoti aliyoiandika Mkaguzi Mkuu wa serikali na kutaka kuendelea kuwaunga mkono wabunge uchwara wa CCM ambaohawajui wanachoongea, basi utajiju
Hawa Wabunge wa CCM kama wangekuwa si uchwara basi wangeishinikiza serikali kufuta umiliki wa Kiwira Coal Mining ambayo fisadi Mkapa na Yona wameimiliki katika mazingira ya kifisadi na hivyo basi kuutengua mkataba wa KCM na TANESCO ambao viongozi wa TANESCO walishinikizwa wausaini. Mkataba huo ni wa shilingi 340 bilioni, lakini wamekaa kimyaaaa!!!! Kikao cha bunge kitafikia ukingoni na maamuzi yao mengi yatakuwa ni yale yale ya kisanii ili kulinda maslahi ya CCM, na wakati huo mafisadi wakiendelea kupeta uraiani!
Kwa kumalizia mimi siji hapa JF kujadili matatizo ndani ya nchi yetu kwa ushabiki. Kuangamia kwa Tanzania kamwe usifananishe na ushabiki kama wa Yanga na Simba. We're talking about the current events in our beloved country, if not rectified the future of our country will be very bleak. Yanayotokea ndani ya nchi yetu nikiwa kama Mtanzania yananikosesha raha sana kama ambavyo yanavyowakosesha raha Watanzania wengine.
CAG confirms ministry hand in Tanesco plight: Also notes delay in payment of Dowans` own debt to the government
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
THE Controller and Auditor General (CAG) has blamed the Ministry of Energy and Minerals for TANESCO's current doldrums, saying officials from that ministry literally forced the state-run power utility to enter into dubious power generation deals with several private companies.
The latest CAG report released this week confirms that the Tanzania Electric Supply Company's severe financial crisis was occasioned by high-level meddling from the parent ministry.
''In our audit, we discovered that the Ministry of Energy and Minerals has contributed in trapping TANESCO in contracts entered without the company's own assessment and vetting process by its board of directors and management,'' says the report signed by the CAG, Ludovic Utuoh.
The report cites such dubious contracts forced on TANESCO by the parent ministry as including the Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Songosongo gas-to-electricity (Songas) and Kiwira Coal and Power Company Limited projects.
Government auditors say they have not been able to find any records showing that the deals with the stated independent power producers were duly approved by relevant tender boards.
The report notes in particular that the $271.8m (approx. 340bn/-) Kiwira contract was 'prematurely' signed while key aspects on the power purchase agreement were not even complete.
Investigations by THISDAY have long established that the formerly state-owned Kiwira coal mine was bought by a company formed by ex-president Benjamin Mkapa, his energy and minerals minister Daniel Yona, and their close family members.
Mkapa and Yona are understood to have used their powerful positions in government to fast-track the sale of the coal mine to their own company, which subsequently signed the controversial power purchase agreement with TANESCO.
''Another example is the Richmond Development Co. Ltd project,'' says the CAG report, echoing widely published findings of the Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) and the parliamentary committee on the Richmond deal, all of which highlighted apparent interference by high-level government officials in the tender process.
The CAG report notes that while the tender documents clearly specified that TANESCO would enter into a 12-month contract, Richmond was given a two-year contract despite the company's bid being earlier rejected.
The report also confirms that thanks to such contracts, the cash-strapped TANESCO is now understood to be paying a staggering $7m (approx. 8.4bn/- each month) to independent power producers, equivalent to 30 per cent of the public utility's total revenues.
It furthermore uncovered various operational problems also causing huge losses to the company.
In 2005, TANESCO was losing a third of its generated power through technical and non-technical causes.
''A significant amount of the electricity generated by TANESCO during 2006 was lost through the power distribution network, which was caused by the overloading of power lines and transformers,'' says the CAG report.
A former prime minister and two senior cabinet ministers have been forced to resign after being implicated by a parliamentary probe team in what is now regarded as the Richmond corruption scandal.
On the other hand, the report notes that while the government continues to pay Dowans Holdings SA a staggering 152m/- per day in capacity charges, the United Arab Emirates-based company that inherited the controversial Richmond power generation deal had by September last year still to pay delay penalty dues to the state.
The CAG report shows that by that month, the delay penalty had reached $2.1m (approx. 2.7bn/-).
''This amount was yet to be paid to TANESCO for no apparent reasons,'' said the report, which in general covered audited accounts of parastatals for the year ended June 30, 2007.
It said a special audit on TANESCO was done at the request of the government and the state-run company's own board of directors.
Dowans Holdings SA inherited the highly-dubious, 172.5bn/- government contract to supply emergency turbine-charged power from Richmond Development Company in the closing weeks of 2006.
Still, back in October last year, TANESCO Managing Director Dr Idris Rashidi told THISDAY in a statement that there would be no problem in recovering the delay penalty debt from Dowans Holdings.
''The government will recover what is owed to it by the contractor (Dowans Holdings) by deducting the amounts from their monthly payments invoiced to TANESCO,'' said the TANESCO boss in the statement.
Earlier last year, the government's procurement watchdog - Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) � noted in a scathing report on the whole Richmond deal that there was no formal agreement between the parties in the original contract (the government and Richmond Development Company) as to how this penalty would be claimed from Dowans Holdings (the inheritor).