Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Wanafiki tu.
Hospitali zimepunguziwa sana ruzuku toka serikali na kibaya zaidi hospitali kubwa zinalazimishwa kutoa gawio.
Sasa hapo unategemea zitatoa wapi pesa kama siyo kukamua mpaka maiti ?
Hao wabunge wanazungumza utafikiri hawajui tatizo ni Magufuli.
Hospitali zimepunguziwa sana ruzuku toka serikali na kibaya zaidi hospitali kubwa zinalazimishwa kutoa gawio.
Sasa hapo unategemea zitatoa wapi pesa kama siyo kukamua mpaka maiti ?
Hao wabunge wanazungumza utafikiri hawajui tatizo ni Magufuli.