Wabunge wakerwa watoto kukata viuno katika Mahafali yao

Kweli waendelee kuyakata huwenda wanangu P na G watapata wake wazuri mauno feni baadaye maana hawa wa sasa hamna kitu
 
These boomers baadala ya kudiscuss mambo ya muhimu,wanataka kushindana na utandawazi????
 
Hao wabunge waambieni tunataka bandari zetu
 
Hata Mimi nimewashangaa sana yaani wanaacha Kuhangaika na Sakata la DP World wao wanahangaika na Watoto / Vibinti Kukata Viuno.
Wakati wao bungeni kazi yao ni kiruka sarakasi na kusindana kula ubwabwa na kukata mauno pia
 
Kwa anayetaka Taarifa Kamili juu ya Wabunge Kukerwa na Watoto Kukata Viuno katika Mahafali yao tafuta Copy yako ya Gazeti la HABARI LEO la Leo ukurasa wa Nne ( 4 ) ili uyajue mengi.
Yan wabunge wanaanza kukemea kukatika viuno badala ya sakata la bandari ambalo ni sintofahamu kwa wanaowawakilisha.

This is insane
 
GENTAMYCINE wewe ni Popoma mkongwe humu ndani. Unawekaje huu uzi bila video yaani tutaaminije kama hao watoto wanakata mauno pengine mnawasingizia
 
Bunge la mazuzu linakasirika watoto kukata viuno?

Hilo bunge halijui kuwa hivyo viuno ndio vimebaki kama sehemu ya uhuru wao pekee kwani nchi ni imeuuzwa.

Rasilimali za taifa zote zimeuzwa, mbona hawakukasirika ilipouuzwa bandari na wazenji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…