Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
swali lako peleka Mwananchimleta mada wewe vipi mbona Lowasa na Duni Haji 2015 walipita kilaini tu kuwa wagombea chadema wakati hawajawahi kuwa wanachana hata kwa wiki moja tu?
mbona hawakuwa njia panda waliingia tu hao wakaibuka wagombea chap chap
Hata Mtatilo amepata uDC kilaini amekuacha wewe huku jamii forum ukihangaika na kulialiamleta mada wewe vipi mbona Lowasa na Duni Haji 2015 walipita kilaini tu kuwa wagombea chadema wakati hawajawahi kuwa wanachana hata kwa wiki moja tu?
mbona hawakuwa njia panda waliingia tu hao wakaibuka wagombea chap chap
View attachment 1365069
Kwa mujibu wa mikataba waliyoandikiana ni kwamba uchaguzi ujao hawatabebwa , bali wanapaswa kupigania roho zao wenyewe kwa kupitia kura za maoni ambazo ndio utaratibu wa halali .
Hofu iliyopo ni kwamba watapitishwa na nani kwenye chama ambacho hawana mizizi hata ya size ndogo kama Caroti ama mhogo ?
Watatupwa kama ganda la ndizi tu na watajuuta sana
mleta mada wewe vipi mbona Lowasa na Duni Haji 2015 walipita kilaini tu kuwa wagombea chadema wakati hawajawahi kuwa wanachana hata kwa wiki moja tu?
mbona hawakuwa njia panda waliingia tu hao wakaibuka wagombea chap chap
Si ndio vizuri ili ccm ipite bila kupingwa .Sitetei chama chochote lakini naweza sema huku ni kujipa faraja tu... Cdm has been defeated.
Kawaambie wahusika sasa mkuuSi ndio vizuri ili ccm ipite bila kupingwa .
ππππHawa nyumbu akili zao za ajabu kweli. Kutwa kucha wanaisema CCM wakati kwao kunazidi kuteketea.
Kama ni hivyo si muwatueu na nyie hao waliohamia? Mmewaangusha sana ccm asilia.mleta mada wewe vipi mbona Lowasa na Duni Haji 2015 walipita kilaini tu kuwa wagombea chadema wakati hawajawahi kuwa wanachana hata kwa wiki moja tu?
mbona hawakuwa njia panda waliingia tu hao wakaibuka wagombea chap chap
Au huoni ni habari kitoka mwananchi?Hawa nyumbu akili zao za ajabu kweli. Kutwa kucha wanaisema CCM wakati kwao kunazidi kuteketea.