Dance Macabre
Member
- May 6, 2024
- 32
- 61
Halafu hakosekani kwenye CabinetCaptain George Mkuchika toka 1978 na anaendelea mtu na nusu.
Mkuu,Captain George Mkuchika toka 1978 na anaendelea mtu na nusu.
Legend mwenyeweMwijage, Rweikiza,Genista Mhagama,Mkuchika sina hakika kama ni mbunge wa Jimbo, Yule mbamba wa pale mtera.
Anaweza kuwa amevunja rekodi kwa kukaa miaka mingi bungeniMkuu,
Yani watu wanaenda kupigana na Idi Amin yeye mbunge mpaka leo karibu miaka 50 baadaye yumo tu kama Wassira?
Mbona Wikipedia yake wanasema kaanza ubunge mwaka 2005?
Kwa umri wake ana miaka kama 20+ mingine. Atakuwa kama wakina Pelosi
Ndugai ni legend hapo. Miaka 25 mpaka sasa.Abood - Morogoro Mjini
Jenister - Peramiho
Shabiby - Gairo
Simbachawene - Kibakwe
Ndugai - Kongwa
Lukuvi - Isimani
Jafo - Kisarawe
Mabula - Ilemela
January makamba..?Abood - Morogoro Mjini
Jenister - Peramiho
Shabiby - Gairo
Simbachawene - Kibakwe
Ndugai - Kongwa
Lukuvi - Isimani
Jafo - Kisarawe
Mabula - Ilemela
Na bado anarudi! 😄
Ooh sorry ni 2005,Mkuu,
Yani watu wanaenda kupigana na Idi Amin yeye mbunge mpaka leo karibu miaka 50 baadaye yumo tu kama Wassira?
Mbona Wikipedia yake wanasema kaanza ubunge mwaka 2005?
Ila wanasiasa kama hawa wapo sana duniani huko..Halafu hakosekani kwenye Cabinet
Mabula hapanaAbood - Morogoro Mjini
Jenister - Peramiho
Shabiby - Gairo
Simbachawene - Kibakwe
Ndugai - Kongwa
Lukuvi - Isimani
Jafo - Kisarawe
Mabula - Ilemela