Naibu spika wa sasaAnaweza kuwa amevunja rekodi kwa kukaa miaka mingi bungeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naibu spika wa sasaAnaweza kuwa amevunja rekodi kwa kukaa miaka mingi bungeni
Think tank wa serikali, viongozi wapya wanamtumia kama rejea ya namna ya kuendesha mamboHalafu hakosekani kwenye Cabinet
Huyu mama mganga wake ni hatari 🙌
Na anapiga tena hadi 2030
Kukuvi hajaanza muda mrefu, kashakuwa mkuu wa mkoa wa Dar enzi za Kikwete baada ya hapo ndipo akaja kuwa MbungeAbood - Morogoro Mjini
Jenister - Peramiho
Shabiby - Gairo
Simbachawene - Kibakwe
Ndugai - Kongwa
Lukuvi - Isimani
Jafo - Kisarawe
Mabula - Ilemela
Tofauti na akina Pelosi, wa kwetu ni machawa hamna lolote la maana wanafanya.Ila wanasiasa kama hawa wapo sana duniani huko..
Kama kina Nancy Pelos Kiranga na Pascal Mayalla wanajua hii..
Long serving senators wa US...
Nimuhim sana kuwa na vyuma kama hivi , matured and experienced kwenye siasa zetu
Mimi nahisi wigi lake analolipenda huenda ni mwongozo wa sangoma wake[emoji1][emoji1]Huyu mama mganga wake ni hatari [emoji119]
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya 45yrsKuna Chuma Kinaitwa Kingunge Ngombale Mwilu Hakuna Aliyevunja Record Yake mpaka Leo🤣🤣🤣
Angalia rekodi zako vizuri Sheikh.. Kingunge Lukuvi yupo toka 1995..kipindi kile ilikuwa RUKSA Mbunge kuwa RC..hqta Balozi Msekela nae alishakuwa Mbunge wa Tabora Kaskazini na Mkuu wa MkoaKukuvi hajaanza muda mrefu, kashakuwa mkuu wa mkoa wa Dar enzi za Kikwete baada ya hapo ndipo akaja kuwa Mbunge
Hivyo vyeo vyote alikuwa navyo na wakati huo huo alikuwa mbunge wa Isimani. Amekuwa mbunge wa Isimani toka mwaka 1995Kukuvi hajaanza muda mrefu, kashakuwa mkuu wa mkoa wa Dar enzi za Kikwete baada ya hapo ndipo akaja kuwa Mbunge
Hampati LukuviNdugai ni legend hapo. Miaka 25 mpaka sasa.
Basi kwa waliopo legend ni Lukuvi, miaka 30. Legend wa muda wote ni Mzindakaya, miaka 45.Hampati Lukuvi
Duuhh, kumbe mema ya nchi yalililiwa double double kiasi hichoHivyo vyeo vyote alikuwa navyo na wakati huo huo alikiwa mbunge wa Isimani. Amekuwa mbunge wa Isimani toka mwaka 1995
![]()
William Lukuvi - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.m.wikipedia.org
Ndiyo hivyo.Duuhh, kumbe mema ya nchi yalililiwa double double kiasi hicho