Wabunge waliopiga Kura ya Ndio Kwa Finance Bill Waomba Msamaha, wengine Wadai ni Shetani aliwapitia

Wabunge waliopiga Kura ya Ndio Kwa Finance Bill Waomba Msamaha, wengine Wadai ni Shetani aliwapitia

Wewe ni mkenya? Ni kweli mkenya yeyote ni lazima aone fahari kwa kilichotokea. Ila watanzania tumeaibishwa.
tuna cha kujifunza...waswahili wanakwambia ukiona mtu kafanya jema harafu ukashindwa kumsifia ujue kuna walakini....mimi nimeona kama watuheshimisha kwasababu tunatakiwa tujifunzi kupitia wao​
 
Back
Top Bottom