covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Gen Z..wamejua kutuheshimisha E.AWabunge au Gen Z? 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gen Z..wamejua kutuheshimisha E.AWabunge au Gen Z? 🐼
Na Kila ULIMI utakiri kuwa Yesu ni BWANA Kwa utukufu wa Mungu baba.Siku ya mwisho kila goti litapigwa
Na hawataaminiIpo siku Tanganyika jua litachomoza Mungu atujalie uzima tu
Katiba yetu ndo takataka namba moja inayoturudisha nyuma kama Taifa!uzuri wa tanzania katiba yetu ndio mwamvuli sahihi wa kutukinga na dhoruba kama za majirani zetu wanazopitia