johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mungu ibariki KenyaKenya wamejua kutuheshimisha sana kwakweli...
Wewe ni mkenya? Ni kweli mkenya yeyote ni lazima aone fahari kwa kilichotokea. Ila watanzania tumeaibishwa.Kenya wamejua kutuheshimisha sana kwakweli...
atubariki na sisi watanzagiza tunao pelekwa pelekwa kama vipofu vileMungu ibariki Kenya
Wewe ni mkenya? Ni kweli mkenya yeyote ni lazima aone fahari kwa kilichotokea. Ila watanzania tumeaibishwa.
Hapa kwetu ndiyo makao yake makuu.Shetani pia anapitapita sana bungeni kwetu walau wao ni mara moja
Hakuna msamaha kwa wasaliti hao ni wa kupiga mawe hadi wafeWabunge kadhaa waliopigia kura ya Ndio Finance Bill wamerudi Majimboni na kutubu Kwa wapiga kura Wao
Wengi Wao wamedai Shetani aliwapitia wakajikuta wamefanya Uamuzi usio sahihi
Source: Citizen TV
Mlale Unono πππ₯
Hapa kwetu ndiyo makao yake makuu.
Ipo siku Tanganyika jua litachomoza Mungu atujalie uzima tuSiku ya mwisho kila goti litapigwa
Wabunge wamechezea kichapoKenya wamejua kutuheshimisha sana kwakweli...
wangembaka akiri imkae sawaWabunge wamechezea kichapo
+ mali zao kuteketezwa,safi sana
Huyu spika wa danganyika Republic angekuwa huko sijui wangemfanyaje
Ova
Kweli!Shetani pia anapitapita sana bungeni kwetu walau wao ni mara moja
Hawa jamaa wamenifurahisha sanasana..Wabunge kadhaa waliopigia kura ya Ndio Finance Bill wamerudi Majimboni na kutubu Kwa wapiga kura Wao
Wengi Wao wamedai Shetani aliwapitia wakajikuta wamefanya Uamuzi usio sahihi
Source: Citizen TV
Mlale Unono πππ₯
Wabunge au Gen Z? πΌHawa jamaa wamenifurahisha sanasana..