Wabunge wengi badala ya kutafuta suluhisho la mfumuko wa bei wanatafuta kiki tu.
Tumemsikia Gambo na Bushiru wote wana lalamika na kuuliza maswali wakati waziri wa kilimo alishajibu tena kwa upana wake.
Badala ya kulalama watoe suluhisho mfano
1. Je wanafikiri ruzuku iongezwe na pesa itoke wapi? wasije tena wakalaumu matumizi ya pesa
2. Je mnataka kuzuiwe uuzaji wa mazao nje na kuwafanya wawekezaji wa kilimo na wakulima kupata hasara. Je msimu ujao wakiacha kulima hawa wabunge watakuwepo kwenye lawama?
3. Je ruzuku ya mafuta iongezwe na pesa itoke kwenye mradi gani? Isije tena hao hao wabunge waka lalamika deni la nchi kuongezeka hasa kama serikali ikiamua kukopa
Ni rahisi kukaa na kulalamika lakini wabunge wanatakiwa kupendekeza suluhisho na kuwa na uwezo wa kubeba lawama.
Badala yake wanauliza maswali ambayo tayari yana majibu. Na kama hawana data basi wangeulizia data kabla ya kikao cha bunge.
Ukisikiliza vizuri wabunge wengi hawatoe hoja za suluhisho kwasababu hawana suluhisho ambalo serikali halijafanyia kazi. Nimefuatilia sana wizara ya kilimo na Bashe anafanya kitu kitu kama inavyotakiwa
Zitto , Pascal Mayalla ,
Mfano huyu Dr wazo gani katoa zaidi ya kuuliza maswali ambayo Bashe alisha jibu kwenye press ikulu
Tumemsikia Gambo na Bushiru wote wana lalamika na kuuliza maswali wakati waziri wa kilimo alishajibu tena kwa upana wake.
Badala ya kulalama watoe suluhisho mfano
1. Je wanafikiri ruzuku iongezwe na pesa itoke wapi? wasije tena wakalaumu matumizi ya pesa
2. Je mnataka kuzuiwe uuzaji wa mazao nje na kuwafanya wawekezaji wa kilimo na wakulima kupata hasara. Je msimu ujao wakiacha kulima hawa wabunge watakuwepo kwenye lawama?
3. Je ruzuku ya mafuta iongezwe na pesa itoke kwenye mradi gani? Isije tena hao hao wabunge waka lalamika deni la nchi kuongezeka hasa kama serikali ikiamua kukopa
Ni rahisi kukaa na kulalamika lakini wabunge wanatakiwa kupendekeza suluhisho na kuwa na uwezo wa kubeba lawama.
Badala yake wanauliza maswali ambayo tayari yana majibu. Na kama hawana data basi wangeulizia data kabla ya kikao cha bunge.
Ukisikiliza vizuri wabunge wengi hawatoe hoja za suluhisho kwasababu hawana suluhisho ambalo serikali halijafanyia kazi. Nimefuatilia sana wizara ya kilimo na Bashe anafanya kitu kitu kama inavyotakiwa
Zitto , Pascal Mayalla ,
Mfano huyu Dr wazo gani katoa zaidi ya kuuliza maswali ambayo Bashe alisha jibu kwenye press ikulu