johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huo ndio ukweli mchungu
Hata yaliyotokea Kenya Finance Bill kukataliwa ingekuwa ni Tanzania Rais angevunja Bunge
Lakini Kenya Gachagua anataka Mkurugenzi wa Intelligence Nurdin Haji ndio ajiuzulu
Kila Katiba ina Uzuri na Ubaya wake
Mlale Unono 😃😃
Hata yaliyotokea Kenya Finance Bill kukataliwa ingekuwa ni Tanzania Rais angevunja Bunge
Lakini Kenya Gachagua anataka Mkurugenzi wa Intelligence Nurdin Haji ndio ajiuzulu
Kila Katiba ina Uzuri na Ubaya wake
Mlale Unono 😃😃