mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Mkataba staili ya MANGUNGO unawasuta!! Dhamiri zinawasuta!! Wanakula lakini hawashibi!! wanacheka lakini hawana furaha!!! KISA: Watanzania wamewagundua walivyoridhia mkataba wa kuuza bandari zetu kwa bei ya bure tena kinyume kabisa na sheria zetu zilizopo!!
Sasa wanajipanga kurekebisha sheria iliyokiukwa ili ikubaliane na uuzwaji wa rasilimali zetu!! Yaani wamevuka kichawi mto kwa kuruka na UNGO, na sasa wanataka kurudi nyuma na kujenga daraja ili kuficha uchawi wao wa kuruka na UNGO hasa kwa vizazi vijavyo!! Ili watu waje kuona kuwa walivuka kwa daraja!!
Tuukaliane tu kuwaita hawa wabunge ni MANGUNGOS wa kizazi kipya!!
Sasa wanajipanga kurekebisha sheria iliyokiukwa ili ikubaliane na uuzwaji wa rasilimali zetu!! Yaani wamevuka kichawi mto kwa kuruka na UNGO, na sasa wanataka kurudi nyuma na kujenga daraja ili kuficha uchawi wao wa kuruka na UNGO hasa kwa vizazi vijavyo!! Ili watu waje kuona kuwa walivuka kwa daraja!!
Tuukaliane tu kuwaita hawa wabunge ni MANGUNGOS wa kizazi kipya!!