Pre GE2025 Wabunge Wampongeza Rais Samia kwa Kufanikisha Uwekezaji wa DP World na Kuongeza Mapato

Pre GE2025 Wabunge Wampongeza Rais Samia kwa Kufanikisha Uwekezaji wa DP World na Kuongeza Mapato

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) na Kamati ya Bajeti ya Bunge pamoja na wabunge mbalimbali wamezungumzia maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam, yanayotekelezwa na Serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na kusifia maendeleo yake ikiwa ni pamoja na uamuzi wa kumleta mwekezaji binafsi, DP World.

Kwa mujibu wa taarifa ya PIC, mradi huo unatekelezwa kwa awamu mbili; awamu ya kwanza inahusisha upanuzi wa gati kuanzia namba 7 hadi 11, na ulianza kutekelezwa mwaka 2017 na ulitarajiwa kukamilika mwaka 2024. Awamu ya pili, ambayo inahusisha ujenzi wa gati 12 hadi 15, inatarajiwa kufanyika baada ya kukamilika kwa awamu ya kwanza.

Soma Pia: Prof Kitila: Waliopinga DP World Wakiri Mafanikio Yake Hadharani

Aidha Wakichangia taarifa ya kamati hiyo ya PIC na ile ya Bajeti wabunge wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan na serikali yake kwa kuziba masikio kuhusu suala la kuleta mwekezaji, DP World kuendesha sehemu ya bandari, hatua baadhi ya watu walijitahidi kupotosha ukweli kuhusu mwekezaji huyo. Wabunge wamesema ongezeko la mapato limechangiwa sana na ujio wa DP World.

 
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) na Kamati ya Bajeti ya Bunge pamoja na wabunge mbalimbali wamezungumzia maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam, yanayotekelezwa na Serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na kusifia maendeleo yake ikiwa ni pamoja na uamuzi wa kumleta mwekezaji binafsi, DP World.

Kwa mujibu wa taarifa ya PIC, mradi huo unatekelezwa kwa awamu mbili; awamu ya kwanza inahusisha upanuzi wa gati kuanzia namba 7 hadi 11, na ulianza kutekelezwa mwaka 2017 na ulitarajiwa kukamilika mwaka 2024. Awamu ya pili, ambayo inahusisha ujenzi wa gati 12 hadi 15, inatarajiwa kufanyika baada ya kukamilika kwa awamu ya kwanza.

Soma Pia: Prof Kitila: Waliopinga DP World Wakiri Mafanikio Yake Hadharani

Aidha Wakichangia taarifa ya kamati hiyo ya PIC na ile ya Bajeti wabunge wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan na serikali yake kwa kuziba masikio kuhusu suala la kuleta mwekezaji, DP World kuendesha sehemu ya bandari, hatua baadhi ya watu walijitahidi kupotosha ukweli kuhusu mwekezaji huyo. Wabunge wamesema ongezeko la mapato limechangiwa sana na ujio wa DP World.

 

Attachments

  • 1edaac7a3e34dc7dbc36bb899a6e6430_1738702701936.mp4
    5.4 MB
IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) na Kamati ya Bajeti ya Bunge pamoja na wabunge mbalimbali wamezungumzia maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam, yanayotekelezwa na Serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na kusifia maendeleo yake ikiwa ni pamoja na uamuzi wa kumleta mwekezaji binafsi, DP World.

Kwa mujibu wa taarifa ya PIC, mradi huo unatekelezwa kwa awamu mbili; awamu ya kwanza inahusisha upanuzi wa gati kuanzia namba 7 hadi 11, na ulianza kutekelezwa mwaka 2017 na ulitarajiwa kukamilika mwaka 2024. Awamu ya pili, ambayo inahusisha ujenzi wa gati 12 hadi 15, inatarajiwa kufanyika baada ya kukamilika kwa awamu ya kwanza.

Soma Pia: Prof Kitila: Waliopinga DP World Wakiri Mafanikio Yake Hadharani

Aidha Wakichangia taarifa ya kamati hiyo ya PIC na ile ya Bajeti wabunge wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan na serikali yake kwa kuziba masikio kuhusu suala la kuleta mwekezaji, DP World kuendesha sehemu ya bandari, hatua baadhi ya watu walijitahidi kupotosha ukweli kuhusu mwekezaji huyo. Wabunge wamesema ongezeko la mapato limechangiwa sana na ujio wa DP World.

Awamu ya kwanza ya mradi ilitarajiwa au ilimalizika 2024? Bado nini au imefikia asilimia ngapi?
Awamu ya pili inatarajiwa kuanza lini?
Haya maelezo yasyojitosheleza ndiyo hufanya mambo ya bandari kuwa na utata.
 
Back
Top Bottom