IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Viongozi mbalimbali wakimpongeza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mara baada ya kuwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa Fedha 2023/24 kupitshwa na Bunge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu amlinde mja wake huyu, hana makuu na yeye ni kazi na kazi ni yeye. Wasiomtakia mema wanateseka sana juu yake na wanateswa na uchapakazi wake.
Kama aliweza kufanya kazi na Hayati Magufuli kama waziri mkuu na mpaka Hayati Magufuli kumsifia Mara nyingi kwa uchapakazi basi Mimi ni nani mpaka nipingane na Hayati Magufuli.
Ni kweli kabisa!! Japo wahuni hawapendi kusikia sifa hiziMungu amlinde mja wake huyu, hana makuu na yeye ni kazi na kazi ni yeye. Wasiomtakia mema wanateseka sana juu yake na wanateswa na uchapakazi wake.
Kama aliweza kufanya kazi na Hayati Magufuli kama waziri mkuu na mpaka Hayati Magufuli kumsifia Mara nyingi kwa uchapakazi basi Mimi ni nani mpaka nipingane na Hayati Magufuli.
Mungu amlinde mja wake huyu, hana makuu na yeye ni kazi na kazi ni yeye. Wasiomtakia mema wanateseka sana juu yake na wanateswa na uchapakazi wake.
Kama aliweza kufanya kazi na Hayati Magufuli kama waziri mkuu na mpaka Hayati Magufuli kumsifia Mara nyingi kwa uchapakazi basi Mimi ni nani mpaka nipingane na Hayati Magufuli.
Ni kweli kabisa!! Japo wahuni wa Taifa hawapendi kusikia sifa hiziMungu amlinde mja wake huyu, hana makuu na yeye ni kazi na kazi ni yeye. Wasiomtakia mema wanateseka sana juu yake na wanateswa na uchapakazi wake.
Kama aliweza kufanya kazi na Hayati Magufuli kama waziri mkuu na mpaka Hayati Magufuli kumsifia Mara nyingi kwa uchapakazi basi Mimi ni nani mpaka nipingane na Hayati Magufuli.
Liruhusu wizi ana mamlaka gani yaani msimamizi (supervisor) ana nguvu kuliko mkurugenzi mkuu wa kampuni (CEO)?Anapongezwa kwa kuruhu wizi serikalini
We zwazwa soma katiba ya nchiLiruhusu wizi ana mamlaka gani yaani msimamizi (supervisor) ana nguvu kuliko mkurugenzi mkuu wa kampuni (CEO)?
Acha utani, waziri mkuu pamoja na juhudi za kukemea na kusimamika zi wabadhirifu unasema aliruhusu wizi wakati wanaosimamishwa wanateuliwa na kupewa mikataba ya ajira na mkurugenzi mkuu wa kampuni ambaye ndiye mwenye mamlaka ya kuajiri na kufukuza (Hire & Fire)?
Mwacheni Mwalimu Kassimu Majaliwa Majaliwa ninyi wezi ndio mnampiga vita sana
Asante kwa matusiWe zwazwa soma katiba ya nchi
HOngeraAsante kwa matusi