MC44
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 2,169
- 3,297
Tangu Bunge jipya kuanza kumekuwa na vihoja na viroja kutoka bungeni nadhani hii ni kwa sababu wabunge wengi wapo pale kwa hisani ya mtu.
Wengine ndo hao viti maalum. Hawajui haso za kusaka kura mitaani.
Hawajui wakiwa bungeni ni kujipigia kampeni ili akija mtaani asitumie nguvu nyingi sana ukizingatia watz wengi wanatumia vyombo vya habari na wanafuatilia vyema.
Mimi nipo jimbo fulani najua mbunge wangu pia hujawahi kuzungumza chochote na tunajua ulienda kwa hisani ya mwendazake.
Majimbo yapo 169 hivi lakini tuna wabunge 400's zaidi ya nusu ni MAMLUKI.
Katiba iangalie tena. Bado kuna wale wasokuwa na chama (19) wapo tu.
Haya vijana dhaifu naona wamesemewa upungufu wa nguvu za kiume na mwanamama wa viti maalum maana ndo matatizo ya jimbo lake hilo lisilojulikana.
Akija kuomba kura mtampa Kwani kawatetea.
Any way Kuna mdundo mzuri sana unarindimba kutoka humu, nasubiri kuona wademkaji wetu katika ubora wao.
Wengine ndo hao viti maalum. Hawajui haso za kusaka kura mitaani.
Hawajui wakiwa bungeni ni kujipigia kampeni ili akija mtaani asitumie nguvu nyingi sana ukizingatia watz wengi wanatumia vyombo vya habari na wanafuatilia vyema.
Mimi nipo jimbo fulani najua mbunge wangu pia hujawahi kuzungumza chochote na tunajua ulienda kwa hisani ya mwendazake.
Majimbo yapo 169 hivi lakini tuna wabunge 400's zaidi ya nusu ni MAMLUKI.
Katiba iangalie tena. Bado kuna wale wasokuwa na chama (19) wapo tu.
Haya vijana dhaifu naona wamesemewa upungufu wa nguvu za kiume na mwanamama wa viti maalum maana ndo matatizo ya jimbo lake hilo lisilojulikana.
Akija kuomba kura mtampa Kwani kawatetea.
Any way Kuna mdundo mzuri sana unarindimba kutoka humu, nasubiri kuona wademkaji wetu katika ubora wao.