Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha kaka tuchatinasikia wamempitisha Magufuli kuwa mgombea wao wa kiti cha urais
point..... ila ujashauri Mkuu nini kifanyike au kilichofanywa ni sahihi?Ni makosa makubwa kuendelea kuamini kwenye maisha kwamba watu wote unaoweza kufanya nao urafiki wasiwe wasaliti, Eti watu wote ambao unaweza kujenga nao Chama kusiwemo wasaliti!! Huo ni Ujinga mkubwa,
kuondoa usaliti mahali popote, ni meza huru isiyo na vitisho,
Watu Wana chalenji habari za Mungu sembuse Vyama ambavyo watu wake ni wale wenye kutumia akiri na Wakati wowote makosa hujitokeza, unategemea kusitokee usaliti
Na usaliti mwingine husababishwa na mwenye nyumba, pindi anapokosa busara na kuendekeza maamuzi ya mabavu,
Bado anasoma huyo dogoEt uonevu hukumbuki wale waliokwenda kuungama kwa bwana yule au.ulikuwa mtt?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi; Na hii ndio siasa. Waumini; Tumshukuru Mungu.Kikao cha kamati kuu ya Chadema kilichoongozwa na mwenyekiti wake mh Mbowe kwa njia ya mtandao kimefanya maamuzi magumu mno.
Taarifa ya maamuzi hayo inategemewa kutolewa leo na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh. John J. Mnyika.
—————
UPDATES
—————
Akitolea maamuzi hayo, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema
Kamati Kuu CHADEMA imeazimia Wabunge Anthony Komu na Joseph Selasini pamoja na kuwa wamejipotezea sifa ya uanachama wa CHADEMA, wameendelea kutoka kauli za kejeli, kashfa na kukiuka maagizo ya Chama, hivyo Chama kimeazimia kuwafukuza uanachama
Mbunge David Silinde na Wilfred Rwakatare sio tu wamekiuka agizo la Chama bali wamekuwa wakijitokeza kwenye vyombo vya habari kutoa maneno ya kashfa na kejeli dhidi ya maagizo ya Chama na Viongozi wa Chama, Kamati Kuu CHADEMA imefikia uamuzi wa kuwafuta uanachama.
Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Mariamu Msabaha, ameshiriki kukiuka maagizo ya Chama, ilitakiwa awe mfano na kwakuwa amekwenda kinyume, amevuliwa nafasi zake zote ndani ya Chama na kubaki na Ubunge na atatakiwa ajieleze kwanini asichukuliwe hatua zaidi kwa kukiuka maagizo.
View attachment 1447012
View attachment 1447013
View attachment 1447014
Usimfananishe lwakatare na mboweRwakatare ameanza kuwa mbunge,Mbowe bado yupo marangu anakunywa mbege acha fiks
Freeman na Marangu wapi na wapi?Usimfananishe lwakatare na mbowe
Cuf alipotoka alikuwa hoi, kaja cdm na ndy shavu likarudi
Ww unaongea nn
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnataka Jiwe asiwe na mpinzani kugombea Urais kwa sababu hawezi kufanya kampeni afya yake mbaya? Simamisheni mgombea asiyekuwa na mgogoro na afya yake!Wangetangaza kujiondoa kwenye uchaguzi mkuu kabisa ili waendelee kukaa karantini.