Wabunge waonyesha punic baada ya ruksa mikutano ya hadhara

Wabunge waonyesha punic baada ya ruksa mikutano ya hadhara

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Nilikuwa najiuliza kwanini wabunge wameanza kuongea kishabiki kwenye bunge hili? Jibu kumbe ni mikutano ya hadhara. Wemekuwa waki lalama kama vile wenyewe ni wapinzani na kupuuza ukweli wa mambo. Kizuri Bashe amekuwa anajua data kuliko wenyewe. Mikutano kuruhusiwa tu sasa tumeshaanza kuona matokeo

Serikali na CCM wamejiandaa kupoteza wabunge wote ambao walikuja kwa kununuliwa isipokuwa waziri Mollel pekee. Wengine wote hata uwaziri, ukatibu wameshatolewa. Hili ni kwasababu CCM wanajiandaa na kuonyesha hawataweka nguvu kwenye haya majimbo na naona wameshajua hao wabunge!.
 
Walau bunge kwa sasa limeanza kuwa bunge na linavutia kulisikiliza, hongera sana mama kumbe wewe ni mwanasayansi wa siasa.
 
Mbunge yeyote na bungeni anakuna kitambi tu bila kuchangia lolote kiuweredi ajihesabie 2025 hana lake.
 
Nilikuwa najiuliza kwanini wabunge wameanza kuongea kishabiki kwenye bunge hili? Jibu kumbe ni mikutano ya hadhara. Wemekuwa waki lalama kama vile wenyewe ni wapinzani na kupuuza ukweli wa mambo. Kizuri Bashe amekuwa anajua data kuliko wenyewe. Mikutano kuruhusiwa tu sasa tumeshaanza kuona matokeo

Serikali na CCM wamejiandaa kupoteza wabunge wote ambao walikuja kwa kununuliwa isipokuwa waziri Mollel pekee. Wengine wote hata uwaziri, ukatibu wameshatolewa. Hili ni kwasababu CCM wanajiandaa na kuonyesha hawataweka nguvu kwenye haya majimbo na naona wameshajua hao wabunge!.
Lile tingatinga la kupitisha watu bila kupingwa limeshaondoshwa wabunge wanahaha sasa.
 
Yaani Muda Uliobaki Kupiga Cash Bungeni Kwenye Kamati Ni Mchache Sana Wanatani Wazuie Tena
 
Back
Top Bottom