Wabunge wapikiwe chakula wakiwa kwenye vikao vya bunge, na walale kwenye mabweni ya UDOM ili wapunguze ulevi na utoro

Wabunge wapikiwe chakula wakiwa kwenye vikao vya bunge, na walale kwenye mabweni ya UDOM ili wapunguze ulevi na utoro

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Sote tu mashahidi, mahudhurio ya wabunge siyo mazuri na wanasisnzia sana wakati wa vikao vya bunge. Hii haitokei kwa bahati mbaya, bali inasababishwa na pesa nyingi za posho wanazolipwa wakati wa vikao zinazopelekea wabunge kukesha kwenye uzinzi na ulevi.

Tunakumbuka Charles Kitwanga aliwahi kuingia bungeni akiwa amelewa chakali. Pia hatujasahau ajali ya gari iliyojeruhi mkono wa mbunge Ndugange na kupoteza maisha ya mwanafumzi wa kike wa UDOM, waliyoipata wakati wanamkimbia mke (wa Ndugange) ambaye aliwafumania.

Ili wabunge wajikite kwenye majukumu yao ya kibunge ni vema wasipewe posho, badala yake wapikiwe chakula na walipiwe mahala pa kulala, ama walazwe kwenye mabweni ya UDOM.


Screenshot_20240508-101118.png
 
We unaijua “vieite” ? Mtu ashuke humo aingie bwenini/hostel ?
Bunge ni watu wachache walochaguliwa na wananchi wale mema ya nchi.
 
Wanatumia gharama kubwa kodi za walalahoi huku output hakuna
 
Hili la kugombania mademu ndo lililomnyima jamaa Mmoja wa Bunda usingizi na kuamua kuropoka habari za boom wakati Moja ya majimbo masikani ni Jimbo la Bunda vijijini
 
Back
Top Bottom