Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kazi iendelee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari snNi kambale na maji
nadhani ni muhimu zoezi hili likafanyika mapema zaidi bila kubabaika wala kuchelewa, mtu huyu ameshakosa sifa na weledi wa kua mwanachama wa ccm.Wabunge kadhaa wamedaiwa kupeleka malalamiko kwa Rais Samia kwamba Luhaga Mpina afukuzwe CCM kutokana na kile wanachodai kukiharibu Chama cha Mapinduzi mbele ya watanzania.
Wabunge wanaotajwa kumchongea Mpina kwa Rais ni Wajumbe NEC wakiongozwa na Livingstone Lusinde, Joseph Kasheku Msukuma, Januari Makamba, Mwigulu Nchemba, Hussein Bashe, Makame Mbarawa.
Wabunge hao wanatajwa kuendesha kampeni za chini kwa chini na kumshauri Mama amfukuze Mpina CCM. Tusubiri tuone CCM ni dude kubwa.
Mpina shikilia hapo hapo wameanza kuruka na kukanyagana,Wabunge wanaotajwa kumchongea Mpina kwa Rais ni Wajumbe NEC wakiongozwa na Livingstone Lusinde, Joseph Kasheku Msukuma, Januari Makamba, Mwigulu Nchemba, Hussein Bashe, Makame Mbarawa.
Hao siyo wezi tuu, niwachawi kabisa ndio mana hawana huruma na watanzania.Nitajie kiongozi ambaye siyo mwizi hapo lumumba
Anatabia za kimalaya malayaKibajaji mjanja sana, yeye yuko pande zote!
Siyo kalogwa huyo bibi naye ni mwizi tuu, inakuwaje watu wanaiba wewe upo kimya?Ukiangalia list ya hao wabunge, ni wale wanufaika wa DP WORLD.
Tatizo la Ccm hawa taki msema kweli.
Mwigulu, Mbarawa, wana tajwa sana kwenye rushwa na kuji limbikizia mali.
Mama kalogwa hasikii wala haoni juu ya hawa wezi.
Ninge kuwa mimi Mh Rais ningebmteua Mpina kwenye nafasi za mmoja wao.
Kwa kimya cha Mama tuna fikiria kusema na yeye ni mnufaika wa yanayo endelea.
Msukuma rudisha V8 uliyo hongwa na Waarabu.
Makamba ndie huyo ali wekwa kwenye Nishati shida ya umems tuna iona hadi leo. Bado Rais ana mbadilishia wizara. Tusemeje kuhusu huyu Rais?? Hana huruma na Watanzania kabisa.
Walau yeye anapasua ukweli kuliko wale wanaojikombakomba ili wapewe nafasi!Hana cha kupinga ufisadi wala nini ni makasiriko tu baada ya kukosa uwaziri, hana lolote CCM wote ni mafisi tu.
Trump anaweza kutuokoaKumfukuza siyo Dawa
Trump anarudi
Hata yeye anajikomba kimtindo huwajui vizuri hao wakitakaga nafasi hutumia mbinu hiyo yaani kila kukicha ni kukosoa tu ikitokea hivyo wenyewe wanajuana kwamba jamaa ana kiu ya asali wacha tumlambishe kidogo basi anapoa anakuwa mzee wa mapambio kazi inakuwa ni kusifu na kuabudu basi.Walau yeye anapasua ukweli kuliko wale wanaojikombakomba ili wapewe nafasi!
Kwahiyo unataka kuniambia Bashe pia alikuwa mkali sana bungeni kabla ya kulambishwa u naibu waziri? 🤣 🤣 🤣 🤣Hata yeye anajikomba kimtindo huwajui vizuri hao wakitakaga nafasi hutumia mbinu hiyo yaani kila kukicha ni kukosoa tu ikitokea hivyo wenyewe wanajuana kwamba jamaa ana kiu ya asali wacha tumlambishe kidogo basi anapoa anakuwa mzee wa mapambio kazi inakuwa ni kusifu na kuabudu basi.
Alikuwa mkali sana,tafuta clips zake za wakati huo utaona.Kwahiyo unataka kuniambia Bashe pia alikuwa mkali sana bungeni kabla ya kulambishwa u naibu waziri? 🤣 🤣 🤣 🤣
Ndio maana sikukuachia uendeleze “Fake News “!Wewe Ndiye unayeujua!
Kweli tena tangu enzi za Richmond, Escrow, Ripoti za Kamati za moto enzi hizo za Kina LembeliAlikuwa mkali sana,tafuta clips zake za wakati huo utaona.
Alichoongea ni uongo au kweli? Tuanzie hapoHana cha kupinga ufisadi wala nini ni makasiriko tu baada ya kukosa uwaziri, hana lolote CCM wote ni mafisi tu.
Itakuwa mwanzo wa Taharuki ndani ya CCM hasa ikizingatiwa Mh Mpina amekuwa akionekana mzalendo kwa wabTz wengi hili laweza kuwa jaribio baya kabisaWabunge kadhaa wamedaiwa kupeleka malalamiko kwa Rais Samia kwamba Luhaga Mpina afukuzwe CCM kutokana na kile wanachodai kukiharibu Chama cha Mapinduzi mbele ya Watanzania.
Wabunge wanaotajwa kumchongea Mpina kwa Rais ni Wajumbe NEC wakiongozwa na Livingstone Lusinde, Joseph Kasheku Msukuma, Januari Makamba, Mwigulu Nchemba, Hussein Bashe, Makame Mbarawa.
Wabunge hao wanatajwa kuendesha kampeni za chini kwa chini na kumshauri Mama amfukuze Mpina CCM. Tusubiri tuone CCM ni dude kubwa.