Tetesi: Wabunge washauri Luhaga Mpina afukuzwe CCM

nadhani ni muhimu zoezi hili likafanyika mapema zaidi bila kubabaika wala kuchelewa, mtu huyu ameshakosa sifa na weledi wa kua mwanachama wa ccm.

aondolewe haraka ili akapate muda wa kutosha na fursa nzuri zaidi ya kuinanga ccm akiwa huko kwa mapanya rodi...
 

Kumbe habari ya muda!
 
Wabunge wanaotajwa kumchongea Mpina kwa Rais ni Wajumbe NEC wakiongozwa na Livingstone Lusinde, Joseph Kasheku Msukuma, Januari Makamba, Mwigulu Nchemba, Hussein Bashe, Makame Mbarawa.
Mpina shikilia hapo hapo wameanza kuruka na kukanyagana,
hebu ibuka na ile ya vigogo kununua nyumba Osterbay na Masaki najua Mwingulu, January, Mbarawa hawakosi kweny hiyo list of shame!!
 
Kwa hiyo ile Demokrasia inayodaiwa kukua sana awamu hii ni ipi hasa kama kuhoji tu bado ni kosa!
 
Siyo kalogwa huyo bibi naye ni mwizi tuu, inakuwaje watu wanaiba wewe upo kimya?
 
Walau yeye anapasua ukweli kuliko wale wanaojikombakomba ili wapewe nafasi!
Hata yeye anajikomba kimtindo huwajui vizuri hao wakitakaga nafasi hutumia mbinu hiyo yaani kila kukicha ni kukosoa tu ikitokea hivyo wenyewe wanajuana kwamba jamaa ana kiu ya asali wacha tumlambishe kidogo basi anapoa anakuwa mzee wa mapambio kazi inakuwa ni kusifu na kuabudu basi.
 
Kwahiyo unataka kuniambia Bashe pia alikuwa mkali sana bungeni kabla ya kulambishwa u naibu waziri? 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Itakuwa mwanzo wa Taharuki ndani ya CCM hasa ikizingatiwa Mh Mpina amekuwa akionekana mzalendo kwa wabTz wengi hili laweza kuwa jaribio baya kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…