Wabunge washtushwa ATCL kudaiwa 39 bilion- 'Serikali Suruali'!!


Yaliyosikika yanaweza kuwa ni kweli yalisemwa. Huyo ni Mustafa Nyang'anyi. Wapi alikowahi kufanya kazi nzuri. Tangu uwaziri hadi ubalozi theme yake ni 'wizi'.

Mbaya zaidi Ni katika Wizara hiyo hiyo alikowahi kusababisha vifo vya watu Kigamboni ferry! ATC yaweza kuwa inalipa mifuko ya watu inayoitwa Airbus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…