Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Kwamba kwa nyumba za kawaida tutakatwa buku kila mwezi.
Waliopanga kwenye magorofa buku tano.
Hivi hawa wabunge ni wawakilishi wa wa wananchi?
Hakuna jinsi wacha tuwalipie kodi wenye nyumba.
Waliopanga kwenye magorofa buku tano.
Hivi hawa wabunge ni wawakilishi wa wa wananchi?
Hakuna jinsi wacha tuwalipie kodi wenye nyumba.