Mie kama ingekuwa hiari yagu unafukuza wote unabakisha Magufuli peke yake na unaanza upya uchaguzi wa Rais na Wabunge wake maana hilo Bunge ni hasara tuu, Kwanza yanalalalala tuu hapo Bungeni.
wahi kapime akili mapema kabla hujashindwa kucontro milango yako ya fahamu. wa2 2naonge vi2 vyenye kuleta changamoto we unaleta tarabu zako huku. huku co kwa wanamipasho ni kwa wa2 wanaoweza kuchanganua mambo.