Ni kawaida kwa mtu mwenye akili zake (muungwana) akianza kurushiwa maneno na kichaa huwa anakaa kimya.
Vivyo hivyo muungwana akiporwa nguo zake na kichaa, huwa anachutama.
Sasa wabunge darasa la saba kwasababu ya upeo wao finyu, hubwatuka tu dhidi ya wabunge wasomi wenye akili. Na wabunge hawa wasomi huamua kutulia tu ( huchutama).
Kwasababu ya ukimya utokanao na busara za hawa wabunge wasomi, wale wa darasa la saba kwa ujinga wao huona kama wanapendwa na hivyo wana "madini" ya kutosha.
Umma unafuatilia mijadala bungeni, lkn bahati mbaya kila siku umma unakutana na mipasho/matusi ya wabunge darasa la saba. Wanainanga elimu na kuwatweza wasomi. Wanautukuza ujinga na udarasa la saba.
Kuna haja ya kubadilisha sifa ya mtu kugombea ubunge. Ili iwe walau shahada ya kwanza, kw lengo la kuwaondoa hawa vichaa wa darasa la saba.
Vivyo hivyo muungwana akiporwa nguo zake na kichaa, huwa anachutama.
Sasa wabunge darasa la saba kwasababu ya upeo wao finyu, hubwatuka tu dhidi ya wabunge wasomi wenye akili. Na wabunge hawa wasomi huamua kutulia tu ( huchutama).
Kwasababu ya ukimya utokanao na busara za hawa wabunge wasomi, wale wa darasa la saba kwa ujinga wao huona kama wanapendwa na hivyo wana "madini" ya kutosha.
Umma unafuatilia mijadala bungeni, lkn bahati mbaya kila siku umma unakutana na mipasho/matusi ya wabunge darasa la saba. Wanainanga elimu na kuwatweza wasomi. Wanautukuza ujinga na udarasa la saba.
Kuna haja ya kubadilisha sifa ya mtu kugombea ubunge. Ili iwe walau shahada ya kwanza, kw lengo la kuwaondoa hawa vichaa wa darasa la saba.