- Thread starter
- #21
Basi sawa uwanja wa Chato wapewe jeshimajeshi yetu hayana viwanja vya ndege vvya kutosha,ukiacha ngerengere vingine vyote wanatumia vya kiraia, mfano mwanza huohuo wa kiraia unatumika na jeshi pia,mtizame mbali zaidi ya kuchungia ngombe wapewe jeshi la wananchi.