Wabunge wawa wakali juu ya ukosefu wa maji na toilet paper vyumba vya uani vya Bunge

Wabunge wawa wakali juu ya ukosefu wa maji na toilet paper vyumba vya uani vya Bunge

Wasanii hao, mbunge John Mbadi naye alimalizia kwa kusema kwamba chakula hapo Canteen kinauzwa kwa bei ya juu sana, wakati ni kibovu kupindukia. Eti sahani moja Kshs 690! 😀😀😀 Bunge Live ni zaidi ya comedy! Mimi naomba huduma hizo ziendelee kuzorota kabisa. Ili wabunge nao wajue wananchi huwa wanahisi vipi, kila wanapolalama kuhusu jambo fulani, bila ya yeyote ule wa kusuluhisha wala sikio la kuwasikiza tu.
200.gif
 
Back
Top Bottom