MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,266
- Thread starter
- #21
Una maana gani katika hii hoja yako?. Hoja yako niya kitoto!.Kwa hiyo Polycarp Pengo akuruhusu ushoga uta-validate kwa kuwa cardinal amesema hivyo?
Jenga hoja kwa kutumia mifano ya halisi na siyo kwa jinsi unavyofikiria. Kwa akili yako unafikiria Baba Askofu ataruhusu ushoga au kwa maana hyingine, unadhani Baba Askofu atatenda kinyume na imani inayomfanya awe Baba Askofu na aendelee kuwa Baba Askofu.
Pope au Mwadhamu Polycarp Pengo siyo binadamu wa kawaida katika imani ya kanisa Katoliki kama unavyotaka kutuaminisha na ndiyo maana hata jina lake limebeba uzito kiimani katika Kanisa Katoliki.Can't you see Pengo au Pope ni binadamu wa kawaida kama wewe na mimi?
Kama wewe siyo Mkatoliki, basi huwezi kuelewa mantiki ya andiko langu!.