Wabunge wengi wa CCM sio wazalendo kwa nchi yetu

Wabunge wengi wa CCM sio wazalendo kwa nchi yetu

Mchokozi wa mambo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2014
Posts
201
Reaction score
159
Nimekuwa nafuatilia mijadala na vikao mbalimbali vya bunge letu hata wawapo majimboni hawatetei nchi wala wananchi ambao kimsingi wanawawakilisha. Muda wote wanamsifia mama Samia. Wote ni chawa ukiwatoa wawili tu Mhe. Luhaga Mpina na Sanga wa Makete angalau unawasikia wanaongea nini na wanafanya kazi za kibunge. Inaumiza sana kuona mfano tu wa hivi karibuni kuhusu mjadala wa Bandari yetu. Hakuna walichong'amua zaidi walikuwa wanamsifia Samia na kumshambulia Mbowe. Suala la maslahi kwa taifa kwao sio kipaumbe bali kipaumbele kwao ni matumbo yao
 
Kwanini uchelewa kujua? Wanasiasa wote tulionao sio waaminifu wa pande zote. Kikubwa usiwafuatilie, achana nao.
 
Back
Top Bottom