Wabunge wenye Hekima, waazimie kumfukuza Spika Tulia

Wabunge wenye Hekima, waazimie kumfukuza Spika Tulia

Exposing corruption and shady dealings is something any member of parliament needs to get absolute immunity from.

Immunity from internal reprisals by disgruntled and psychophantic parliamentarians like Tulia Ackson.

And immunity from political persecution, dismissal and disciplinary actions by his political party.


When Zitto Kabwe fell out of the graces of his political party, Hon Samuel Sitta used his bully pulpit to protect and secure his position, first as a politician responsible to Tanzanians and his electorate, not Mbowe and Slaa.

Immature politicians like Tulia Ackson with no any ideological rooting are a nascent cancer that needs to be ruthlessly cut out.​
 
Nchi hii, kuna watu wengi wenye elimu nzuri na akili pia, LAKINI unafiki wao na uchawa vimewafanya wapoteze weledi na akili ya reasoning na argument, kiasi cha kuwafanya waonekane kama ni watu wasio na weledi wala uelewa.

Tambueni kuwa Spika Tulia ni mwanasheria, tena mwenye shahada tatu kwenye sheria, lakini ananyoyatenda kwa sasa dhidi ya Mbunge Mpina, hata mtu ambaye ana certificate ya sheria, anayejua na kuheshimu katiba, hawezi kuyafanya.

Tulia hajua kuwa haki ya kwanza ya kila mwananchi, ni haki yake ya uraia. Na haki hiyo haipotei kwa mtu mtu huyo ni mbunge, diwani au Waziri.

Mpina aliitisha vyombo vya habari, kama raia wa Tanzania na kama mbunge. Tulia ni kiranja wa wabunge wawapo ndani ya vikao vya Bunge. Yeye siyo mkuu wa wabunge wawapo nje ya vikao vya Bunge. Mpina, kama mbunge, anapoenda kwenye vikao vya Bunge, anawawakilisha wananchi wake. Na kama kumetokea mtafaruku wowote huko kwenye vikao vya Bunge, ana haki ya kuwajulisha wapiga kura wake juu ya kilichojiri huko Bungeni, na ana haki pia kuwajulisha wananchi wake anapeleka majibu gani Bungeni kuhusiana na alichoelekezwa na kiranja wa vikao vya Bunge.

Kwa mujibu wa katiba, Mpina kama raia wa Tanzania, kama mbunge mwakilishi wa wananchi, hakiuki sheria yoyote katika kufanya kikao chochote na mtu yeyote akiwa nje ya Bunge. Tulia hana mamlaka ya kumuamlia Mbunge Mpina au mtu mwingine yeyote, aukutane na nani au aseme nini akiwa nje ya vikao vya Bunge.

Hivyo, Tulia kuelekeza kuwa Mpina ahojiwe na kamati ya kanuni na maadili ya Bunge eti kwa nini alifanya kikao na wanahabari wakati hakuwa chini ya mamlaka ya spika, ni kuishiwa weledi na reasoning hata ile ya kawaida. Kama Mpina alikiuka sheria yoyote ya nchi kwa kufanya kikao na wanahabari akiwa nje ya Bunge, wa kumwajibisha siyo Spika Tulia. Nje ya Bunge kuna vyombo vya kusimamia sheria, na vyombo hivyo, siyo Spika wa Bunge.

Spika Tulia amka, uondoke kwenye usingizi wa mahaba ya mambo ambayo hayapo kisheria. Usiwe mtumwa wa mahaba bali mtumwa wa weledi, ndivyo watu wenye hekima wanavyokuwa.

Wabunge nanyi, pamoja na kwamba wengi wenu ni zao la uovu wa uchaguzi wa 2020, kama mna weledi japo kidogo, mwondoeni Tulia kwenye hiyo nafasi kwa kukiaibisha kiti cha spika, kwa kutenda mambo yaliyo kinyume na katiba ya nchi. Katiba ya nchi ipo juu ya kanuni na maadili ya Bunge. Heshimuni katiba kwanza, kabla ya chochote.
Wabunge wa Ccm wamtoe Supika aliyetokea kwenye Ccm yao ?? 🙄
Are you seriously 😳 ??
Never ever ! Not in this Country Mkuu !
 
Kuwa na Muhimili wenye maslahi na Serikali nayo ni kigugumizi kingine, hasa kwa nchi zetu za dunia ya tatu. Spika mumewe kateuliwa na Raisi, halafu tutegemee aisimamie vizuri Serikali?

Lazima kila kila kitu ataitetea Serikali, kumlinda mumewe asitenguliwe. Tanzania kuwa na muhimili unaofanya kazi kama wenyewe hakuna. Tusishangae haya yakitokea.
 
Wabunge wa kila chama huwa wanakuwa na msimamo wao juu ya kila jambo kabla ya kulitoa hadharani, yawezekana walikubaliana ndani issue ya Bashe iitwe White lakn Mpina akaitoa nje tena kwa kuiita Black as it is, kwahiyo siyo rahisi hekima wala busara kutumika hapo zaidi ya kuendelea kumlaumu Mpina pengine hata kumuadhibu.
 
Nchi hii, kuna watu wengi wenye elimu nzuri na akili pia, LAKINI unafiki wao na uchawa vimewafanya wapoteze weledi na akili ya reasoning na argument, kiasi cha kuwafanya waonekane kama ni watu wasio na weledi wala uelewa.

Tambueni kuwa Spika Tulia ni mwanasheria, tena mwenye shahada tatu kwenye sheria, lakini ananyoyatenda kwa sasa dhidi ya Mbunge Mpina, hata mtu ambaye ana certificate ya sheria, anayejua na kuheshimu katiba, hawezi kuyafanya.

Tulia hajua kuwa haki ya kwanza ya kila mwananchi, ni haki yake ya uraia. Na haki hiyo haipotei kwa mtu mtu huyo ni mbunge, diwani au Waziri.

Mpina aliitisha vyombo vya habari, kama raia wa Tanzania na kama mbunge. Tulia ni kiranja wa wabunge wawapo ndani ya vikao vya Bunge. Yeye siyo mkuu wa wabunge wawapo nje ya vikao vya Bunge. Mpina, kama mbunge, anapoenda kwenye vikao vya Bunge, anawawakilisha wananchi wake. Na kama kumetokea mtafaruku wowote huko kwenye vikao vya Bunge, ana haki ya kuwajulisha wapiga kura wake juu ya kilichojiri huko Bungeni, na ana haki pia kuwajulisha wananchi wake anapeleka majibu gani Bungeni kuhusiana na alichoelekezwa na kiranja wa vikao vya Bunge.

Kwa mujibu wa katiba, Mpina kama raia wa Tanzania, kama mbunge mwakilishi wa wananchi, hakiuki sheria yoyote katika kufanya kikao chochote na mtu yeyote akiwa nje ya Bunge. Tulia hana mamlaka ya kumuamlia Mbunge Mpina au mtu mwingine yeyote, aukutane na nani au aseme nini akiwa nje ya vikao vya Bunge.

Hivyo, Tulia kuelekeza kuwa Mpina ahojiwe na kamati ya kanuni na maadili ya Bunge eti kwa nini alifanya kikao na wanahabari wakati hakuwa chini ya mamlaka ya spika, ni kuishiwa weledi na reasoning hata ile ya kawaida. Kama Mpina alikiuka sheria yoyote ya nchi kwa kufanya kikao na wanahabari akiwa nje ya Bunge, wa kumwajibisha siyo Spika Tulia. Nje ya Bunge kuna vyombo vya kusimamia sheria, na vyombo hivyo, siyo Spika wa Bunge.

Spika Tulia amka, uondoke kwenye usingizi wa mahaba ya mambo ambayo hayapo kisheria. Usiwe mtumwa wa mahaba bali mtumwa wa weledi, ndivyo watu wenye hekima wanavyokuwa.

Wabunge nanyi, pamoja na kwamba wengi wenu ni zao la uovu wa uchaguzi wa 2020, kama mna weledi japo kidogo, mwondoeni Tulia kwenye hiyo nafasi kwa kukiaibisha kiti cha spika, kwa kutenda mambo yaliyo kinyume na katiba ya nchi. Katiba ya nchi ipo juu ya kanuni na maadili ya Bunge. Heshimuni katiba kwanza, kabla ya chochote.
Wewe ni fala tu, hujui kitu; hata kanuni za bunge huzijui. Huna faida yoyote.
Tulia yupo sahihi. Ndiye msemaji wa bunge. Ushahidi ukishawasilishwa kwa Spika si Mbunge tena bali ni wa bunge.
Kenge wewe.
 
Tanzania hakuna Bunge,bali kundi la wachache watumia Kodi za walalahoi hovyo.Spika Tulia ni kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea.
 
Spika Tulia yuko sahihi

Kuumwaga ushahidi nyeti wa kiserikali hadharani ni kuhatarisha Usalama
Kivipi kunahatarisha usalama?Siri Gani hizo ambazo hatutakiwi wananchi kuzijua?au zile za kuuza Nchi Kwa waarabu?au ni zipo hizo?
 
Nchi hii, kuna watu wengi wenye elimu nzuri na akili pia, LAKINI unafiki wao na uchawa vimewafanya wapoteze weledi na akili ya reasoning na argument, kiasi cha kuwafanya waonekane kama ni watu wasio na weledi wala uelewa.

Tambueni kuwa Spika Tulia ni mwanasheria, tena mwenye shahada tatu kwenye sheria, lakini ananyoyatenda kwa sasa dhidi ya Mbunge Mpina, hata mtu ambaye ana certificate ya sheria, anayejua na kuheshimu katiba, hawezi kuyafanya.

Tulia hajua kuwa haki ya kwanza ya kila mwananchi, ni haki yake ya uraia. Na haki hiyo haipotei kwa mtu mtu huyo ni mbunge, diwani au Waziri.

Mpina aliitisha vyombo vya habari, kama raia wa Tanzania na kama mbunge. Tulia ni kiranja wa wabunge wawapo ndani ya vikao vya Bunge. Yeye siyo mkuu wa wabunge wawapo nje ya vikao vya Bunge. Mpina, kama mbunge, anapoenda kwenye vikao vya Bunge, anawawakilisha wananchi wake. Na kama kumetokea mtafaruku wowote huko kwenye vikao vya Bunge, ana haki ya kuwajulisha wapiga kura wake juu ya kilichojiri huko Bungeni, na ana haki pia kuwajulisha wananchi wake anapeleka majibu gani Bungeni kuhusiana na alichoelekezwa na kiranja wa vikao vya Bunge.

Kwa mujibu wa katiba, Mpina kama raia wa Tanzania, kama mbunge mwakilishi wa wananchi, hakiuki sheria yoyote katika kufanya kikao chochote na mtu yeyote akiwa nje ya Bunge. Tulia hana mamlaka ya kumuamlia Mbunge Mpina au mtu mwingine yeyote, aukutane na nani au aseme nini akiwa nje ya vikao vya Bunge.

Hivyo, Tulia kuelekeza kuwa Mpina ahojiwe na kamati ya kanuni na maadili ya Bunge eti kwa nini alifanya kikao na wanahabari wakati hakuwa chini ya mamlaka ya spika, ni kuishiwa weledi na reasoning hata ile ya kawaida. Kama Mpina alikiuka sheria yoyote ya nchi kwa kufanya kikao na wanahabari akiwa nje ya Bunge, wa kumwajibisha siyo Spika Tulia. Nje ya Bunge kuna vyombo vya kusimamia sheria, na vyombo hivyo, siyo Spika wa Bunge.

Spika Tulia amka, uondoke kwenye usingizi wa mahaba ya mambo ambayo hayapo kisheria. Usiwe mtumwa wa mahaba bali mtumwa wa weledi, ndivyo watu wenye hekima wanavyokuwa.

Wabunge nanyi, pamoja na kwamba wengi wenu ni zao la uovu wa uchaguzi wa 2020, kama mna weledi japo kidogo, mwondoeni Tulia kwenye hiyo nafasi kwa kukiaibisha kiti cha spika, kwa kutenda mambo yaliyo kinyume na katiba ya nchi. Katiba ya nchi ipo juu ya kanuni na maadili ya Bunge. Heshimuni katiba kwanza, kabla ya chochote.
Makuballiana na wewe kuwa ni muendelezo wa uchawa wa Ndugai ila Mpina alijiingiza kwenye 18 za Tulia alipokiuka kanuni ya bunge ya kusemea hoja aliyotakiwa kutoa ushahidi bungeni yeye akaitoa kwa waandishi was habari kwa kutafuta kick ya kijinga.
Angesubiri hoja zake zikatallwe atoke hadharani.
 
Watu Wenye hasira wanaweza kumuamini Mpina na kuanza kuwasaka waliosaini vibali

Nakumbuka mchungaji Mtikila rip aliwahi kusimama pale Kisutu na kuwaambia wale wamachinga wanaouza mihogo na viazi vya kuchoma kwamba umaskini Wao unasababishwa na hao hao Magabacholi wanaowauzia mihogo

Bwashee kilichofuatia wale vijana wakaanza kuvamia Maduka ya wahindi bahati nzuri Polisi wa Patrol waliwahi kuwazuia

Watanganyika Wana hasira kali Sana walizohifadhi mioyoni hivyo wasiendewe hovyo [emoji209]
Watanzania wakibadilika kutoka kwenye ulofa na kuwa wenye hasira kali dhidi ya watawala wahuni, litakuwa jambo la heri kubwa, maana itakuwa ni ukamilifu wa ukombozi wa Taifa hili ambalo watawala wanafanya uovu wa kila aina dhidi ya wananchi.
 
Wewe ni fala tu, hujui kitu; hata kanuni za bunge huzijui. Huna faida yoyote.
Tulia yupo sahihi. Ndiye msemaji wa bunge. Ushahidi ukishawasilishwa kwa Spika si Mbunge tena bali ni wa bunge.
Kenge wewe.
Ukisoma comments za watu wote humu, bila shaka unaelewa wazi kuwa huyu Bigstone ndiye punguani wa pekee.

We ignore such mind crippled creatures
Wagonjwa wa akili kama huyu ni wa kuwapuuza.
 
Wabunge wa kila chama huwa wanakuwa na msimamo wao juu ya kila jambo kabla ya kulitoa hadharani, yawezekana walikubaliana ndani issue ya Bashe iitwe White lakn Mpina akaitoa nje tena kwa kuiita Black as it is, kwahiyo siyo rahisi hekima wala busara kutumika hapo zaidi ya kuendelea kumlaumu Mpina pengine hata kumuadhibu.
Tunaongelea maslahi ya Taifa sio chama. Pia hoja ilikuwa ya Mpina kuwasilisha Ushahidi, akaona auweke wazi Kwa umma ili hata Tulia akiuficha apatikane.
 
Back
Top Bottom