GWAMAKA USWEGE
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 1,398
- 5,198
Bdo uko enzi za giza,dunia ilishatoka huko kwenye ujinga kwa kisingizio cha kuhatarisha usalama wa nchiSpika Tulia yuko sahihi
Kuumwaga ushahidi nyeti wa kiserikali hadharani ni kuhatarisha Usalama
Usalama wa nchi umesema wewe 🐼Bdo uko enzi za giza,dunia ilishatoka huko kwenye ujinga kwa kisingizio cha kuhatarisha usalama wa nchi
Wabunge wa Ccm wamtoe Supika aliyetokea kwenye Ccm yao ?? 🙄Nchi hii, kuna watu wengi wenye elimu nzuri na akili pia, LAKINI unafiki wao na uchawa vimewafanya wapoteze weledi na akili ya reasoning na argument, kiasi cha kuwafanya waonekane kama ni watu wasio na weledi wala uelewa.
Tambueni kuwa Spika Tulia ni mwanasheria, tena mwenye shahada tatu kwenye sheria, lakini ananyoyatenda kwa sasa dhidi ya Mbunge Mpina, hata mtu ambaye ana certificate ya sheria, anayejua na kuheshimu katiba, hawezi kuyafanya.
Tulia hajua kuwa haki ya kwanza ya kila mwananchi, ni haki yake ya uraia. Na haki hiyo haipotei kwa mtu mtu huyo ni mbunge, diwani au Waziri.
Mpina aliitisha vyombo vya habari, kama raia wa Tanzania na kama mbunge. Tulia ni kiranja wa wabunge wawapo ndani ya vikao vya Bunge. Yeye siyo mkuu wa wabunge wawapo nje ya vikao vya Bunge. Mpina, kama mbunge, anapoenda kwenye vikao vya Bunge, anawawakilisha wananchi wake. Na kama kumetokea mtafaruku wowote huko kwenye vikao vya Bunge, ana haki ya kuwajulisha wapiga kura wake juu ya kilichojiri huko Bungeni, na ana haki pia kuwajulisha wananchi wake anapeleka majibu gani Bungeni kuhusiana na alichoelekezwa na kiranja wa vikao vya Bunge.
Kwa mujibu wa katiba, Mpina kama raia wa Tanzania, kama mbunge mwakilishi wa wananchi, hakiuki sheria yoyote katika kufanya kikao chochote na mtu yeyote akiwa nje ya Bunge. Tulia hana mamlaka ya kumuamlia Mbunge Mpina au mtu mwingine yeyote, aukutane na nani au aseme nini akiwa nje ya vikao vya Bunge.
Hivyo, Tulia kuelekeza kuwa Mpina ahojiwe na kamati ya kanuni na maadili ya Bunge eti kwa nini alifanya kikao na wanahabari wakati hakuwa chini ya mamlaka ya spika, ni kuishiwa weledi na reasoning hata ile ya kawaida. Kama Mpina alikiuka sheria yoyote ya nchi kwa kufanya kikao na wanahabari akiwa nje ya Bunge, wa kumwajibisha siyo Spika Tulia. Nje ya Bunge kuna vyombo vya kusimamia sheria, na vyombo hivyo, siyo Spika wa Bunge.
Spika Tulia amka, uondoke kwenye usingizi wa mahaba ya mambo ambayo hayapo kisheria. Usiwe mtumwa wa mahaba bali mtumwa wa weledi, ndivyo watu wenye hekima wanavyokuwa.
Wabunge nanyi, pamoja na kwamba wengi wenu ni zao la uovu wa uchaguzi wa 2020, kama mna weledi japo kidogo, mwondoeni Tulia kwenye hiyo nafasi kwa kukiaibisha kiti cha spika, kwa kutenda mambo yaliyo kinyume na katiba ya nchi. Katiba ya nchi ipo juu ya kanuni na maadili ya Bunge. Heshimuni katiba kwanza, kabla ya chochote.
Usalama wa Ccm 🤠Usalama wa nchi umesema wewe 🐼
One day yesHii nchi badae itakuja kukaa sawa kimya kingi kina mshindo mkubwa,
Wewe ni fala tu, hujui kitu; hata kanuni za bunge huzijui. Huna faida yoyote.Nchi hii, kuna watu wengi wenye elimu nzuri na akili pia, LAKINI unafiki wao na uchawa vimewafanya wapoteze weledi na akili ya reasoning na argument, kiasi cha kuwafanya waonekane kama ni watu wasio na weledi wala uelewa.
Tambueni kuwa Spika Tulia ni mwanasheria, tena mwenye shahada tatu kwenye sheria, lakini ananyoyatenda kwa sasa dhidi ya Mbunge Mpina, hata mtu ambaye ana certificate ya sheria, anayejua na kuheshimu katiba, hawezi kuyafanya.
Tulia hajua kuwa haki ya kwanza ya kila mwananchi, ni haki yake ya uraia. Na haki hiyo haipotei kwa mtu mtu huyo ni mbunge, diwani au Waziri.
Mpina aliitisha vyombo vya habari, kama raia wa Tanzania na kama mbunge. Tulia ni kiranja wa wabunge wawapo ndani ya vikao vya Bunge. Yeye siyo mkuu wa wabunge wawapo nje ya vikao vya Bunge. Mpina, kama mbunge, anapoenda kwenye vikao vya Bunge, anawawakilisha wananchi wake. Na kama kumetokea mtafaruku wowote huko kwenye vikao vya Bunge, ana haki ya kuwajulisha wapiga kura wake juu ya kilichojiri huko Bungeni, na ana haki pia kuwajulisha wananchi wake anapeleka majibu gani Bungeni kuhusiana na alichoelekezwa na kiranja wa vikao vya Bunge.
Kwa mujibu wa katiba, Mpina kama raia wa Tanzania, kama mbunge mwakilishi wa wananchi, hakiuki sheria yoyote katika kufanya kikao chochote na mtu yeyote akiwa nje ya Bunge. Tulia hana mamlaka ya kumuamlia Mbunge Mpina au mtu mwingine yeyote, aukutane na nani au aseme nini akiwa nje ya vikao vya Bunge.
Hivyo, Tulia kuelekeza kuwa Mpina ahojiwe na kamati ya kanuni na maadili ya Bunge eti kwa nini alifanya kikao na wanahabari wakati hakuwa chini ya mamlaka ya spika, ni kuishiwa weledi na reasoning hata ile ya kawaida. Kama Mpina alikiuka sheria yoyote ya nchi kwa kufanya kikao na wanahabari akiwa nje ya Bunge, wa kumwajibisha siyo Spika Tulia. Nje ya Bunge kuna vyombo vya kusimamia sheria, na vyombo hivyo, siyo Spika wa Bunge.
Spika Tulia amka, uondoke kwenye usingizi wa mahaba ya mambo ambayo hayapo kisheria. Usiwe mtumwa wa mahaba bali mtumwa wa weledi, ndivyo watu wenye hekima wanavyokuwa.
Wabunge nanyi, pamoja na kwamba wengi wenu ni zao la uovu wa uchaguzi wa 2020, kama mna weledi japo kidogo, mwondoeni Tulia kwenye hiyo nafasi kwa kukiaibisha kiti cha spika, kwa kutenda mambo yaliyo kinyume na katiba ya nchi. Katiba ya nchi ipo juu ya kanuni na maadili ya Bunge. Heshimuni katiba kwanza, kabla ya chochote.
RubbishSpika Tulia yuko sahihi
Kuumwaga ushahidi nyeti wa kiserikali hadharani ni kuhatarisha Usalama
Kivipi kunahatarisha usalama?Siri Gani hizo ambazo hatutakiwi wananchi kuzijua?au zile za kuuza Nchi Kwa waarabu?au ni zipo hizo?Spika Tulia yuko sahihi
Kuumwaga ushahidi nyeti wa kiserikali hadharani ni kuhatarisha Usalama
John mbona umebadilika ghafla nini hiki umeandikaNa Siyo kila Kitu kinahojiwa
Inahitajika hekima ya Roho Mtakatifu kulielewa hilo
GT hawezi kuandika ....aiba... badala ya haiba. Unasikia you low thinker?Heshima ni kitu cha bure mkuu,tumia lugha ya staha na heshima kutoa elimu,sio matusi,hii sio aiba ya GT.
Makuballiana na wewe kuwa ni muendelezo wa uchawa wa Ndugai ila Mpina alijiingiza kwenye 18 za Tulia alipokiuka kanuni ya bunge ya kusemea hoja aliyotakiwa kutoa ushahidi bungeni yeye akaitoa kwa waandishi was habari kwa kutafuta kick ya kijinga.Nchi hii, kuna watu wengi wenye elimu nzuri na akili pia, LAKINI unafiki wao na uchawa vimewafanya wapoteze weledi na akili ya reasoning na argument, kiasi cha kuwafanya waonekane kama ni watu wasio na weledi wala uelewa.
Tambueni kuwa Spika Tulia ni mwanasheria, tena mwenye shahada tatu kwenye sheria, lakini ananyoyatenda kwa sasa dhidi ya Mbunge Mpina, hata mtu ambaye ana certificate ya sheria, anayejua na kuheshimu katiba, hawezi kuyafanya.
Tulia hajua kuwa haki ya kwanza ya kila mwananchi, ni haki yake ya uraia. Na haki hiyo haipotei kwa mtu mtu huyo ni mbunge, diwani au Waziri.
Mpina aliitisha vyombo vya habari, kama raia wa Tanzania na kama mbunge. Tulia ni kiranja wa wabunge wawapo ndani ya vikao vya Bunge. Yeye siyo mkuu wa wabunge wawapo nje ya vikao vya Bunge. Mpina, kama mbunge, anapoenda kwenye vikao vya Bunge, anawawakilisha wananchi wake. Na kama kumetokea mtafaruku wowote huko kwenye vikao vya Bunge, ana haki ya kuwajulisha wapiga kura wake juu ya kilichojiri huko Bungeni, na ana haki pia kuwajulisha wananchi wake anapeleka majibu gani Bungeni kuhusiana na alichoelekezwa na kiranja wa vikao vya Bunge.
Kwa mujibu wa katiba, Mpina kama raia wa Tanzania, kama mbunge mwakilishi wa wananchi, hakiuki sheria yoyote katika kufanya kikao chochote na mtu yeyote akiwa nje ya Bunge. Tulia hana mamlaka ya kumuamlia Mbunge Mpina au mtu mwingine yeyote, aukutane na nani au aseme nini akiwa nje ya vikao vya Bunge.
Hivyo, Tulia kuelekeza kuwa Mpina ahojiwe na kamati ya kanuni na maadili ya Bunge eti kwa nini alifanya kikao na wanahabari wakati hakuwa chini ya mamlaka ya spika, ni kuishiwa weledi na reasoning hata ile ya kawaida. Kama Mpina alikiuka sheria yoyote ya nchi kwa kufanya kikao na wanahabari akiwa nje ya Bunge, wa kumwajibisha siyo Spika Tulia. Nje ya Bunge kuna vyombo vya kusimamia sheria, na vyombo hivyo, siyo Spika wa Bunge.
Spika Tulia amka, uondoke kwenye usingizi wa mahaba ya mambo ambayo hayapo kisheria. Usiwe mtumwa wa mahaba bali mtumwa wa weledi, ndivyo watu wenye hekima wanavyokuwa.
Wabunge nanyi, pamoja na kwamba wengi wenu ni zao la uovu wa uchaguzi wa 2020, kama mna weledi japo kidogo, mwondoeni Tulia kwenye hiyo nafasi kwa kukiaibisha kiti cha spika, kwa kutenda mambo yaliyo kinyume na katiba ya nchi. Katiba ya nchi ipo juu ya kanuni na maadili ya Bunge. Heshimuni katiba kwanza, kabla ya chochote.
Watanzania wakibadilika kutoka kwenye ulofa na kuwa wenye hasira kali dhidi ya watawala wahuni, litakuwa jambo la heri kubwa, maana itakuwa ni ukamilifu wa ukombozi wa Taifa hili ambalo watawala wanafanya uovu wa kila aina dhidi ya wananchi.Watu Wenye hasira wanaweza kumuamini Mpina na kuanza kuwasaka waliosaini vibali
Nakumbuka mchungaji Mtikila rip aliwahi kusimama pale Kisutu na kuwaambia wale wamachinga wanaouza mihogo na viazi vya kuchoma kwamba umaskini Wao unasababishwa na hao hao Magabacholi wanaowauzia mihogo
Bwashee kilichofuatia wale vijana wakaanza kuvamia Maduka ya wahindi bahati nzuri Polisi wa Patrol waliwahi kuwazuia
Watanganyika Wana hasira kali Sana walizohifadhi mioyoni hivyo wasiendewe hovyo [emoji209]
Ukisoma comments za watu wote humu, bila shaka unaelewa wazi kuwa huyu Bigstone ndiye punguani wa pekee.Wewe ni fala tu, hujui kitu; hata kanuni za bunge huzijui. Huna faida yoyote.
Tulia yupo sahihi. Ndiye msemaji wa bunge. Ushahidi ukishawasilishwa kwa Spika si Mbunge tena bali ni wa bunge.
Kenge wewe.
Tunaongelea maslahi ya Taifa sio chama. Pia hoja ilikuwa ya Mpina kuwasilisha Ushahidi, akaona auweke wazi Kwa umma ili hata Tulia akiuficha apatikane.Wabunge wa kila chama huwa wanakuwa na msimamo wao juu ya kila jambo kabla ya kulitoa hadharani, yawezekana walikubaliana ndani issue ya Bashe iitwe White lakn Mpina akaitoa nje tena kwa kuiita Black as it is, kwahiyo siyo rahisi hekima wala busara kutumika hapo zaidi ya kuendelea kumlaumu Mpina pengine hata kumuadhibu.