Wabunge Wote Ni Mafisadi.

Wabunge Wote Ni Mafisadi.

Sidhani kuwa wabunge wot ni mafisadi. Unless useme Bunge as an institution, kwa mantiki kuwa wana uwezo wa kukemea na kuwajibisha mafisadi lakini kazi hiyo haifanywi vema. Kwa hiyo kwa kutotimiza wajibu then unaweza kuhesabu kuwa they are, Lakini individually there are some good guys there ila hawana pa kusemea. Collective responsibility ndani ya CCM inawanyoa. Kumbuka hao MREMA alivyotoka CCM ni kwa sababu aliamua kkukiuka ka utaratibu hako ka kulindana. Kwa hiyo we neen those who are really wazalendo hata ndani aya CCM basi wajotokeze hadharani na kuwaambia wananchi kuwa si mafisadi. So tusigerelise ingawa wengi wananuka! uuhghhh.
 
Lakini individually there are some good guys there ila hawana pa kusemea. Collective responsibility ndani ya CCM inawanyoa. Kumbuka hao MREMA alivyotoka CCM ni kwa sababu aliamua kkukiuka ka utaratibu hako ka kulindana.

Ni rahisi kuwajua mafisadi, lakini kuwaunganisha wabunge wetu wote kwa namna hii ni kuwakosea heshima. Tafadhali heshimu bunge letu 'tukufu' kwani lina mazuri yake. Kuna wabunge nina heshima kwao sana na napenda utendaji wao. Taja mmoja mmoja ukiwa na vigezo vinginevyo Mods muwe mnaangalia hawa wa2 wanaotaka kuharibu heshima ya wanene we2 kwani siasa c kupakana matope.

Ebbo!

BTW; nnamsubiri Da Asha aje kuomba radhi vinginevyo nisilaumiwe kwa ku-spam PM yake
 
Ni rahisi kuwajua mafisadi, lakini kuwaunganisha wabunge wetu wote kwa namna hii ni kuwakosea heshima. Tafadhali heshimu bunge letu 'tukufu' kwani lina mazuri yake. Kuna wabunge nina heshima kwao sana na napenda utendaji wao. Taja mmoja mmoja ukiwa na vigezo vinginevyo Mods muwe mnaangalia hawa wa2 wanaotaka kuharibu heshima ya wanene we2 kwani siasa c kupakana matope.

Waswahili tunasema akioza samaki mmoja wameoza wote,zaidi wakiwa ndani ya jumu au tenga moja na hapo inaunga kabisa WaTanzania wote ni mafisadi au tumafisadi,ila tumezidiana hata raia wa kawaida ni mafisadi haiwezekani serikali inatengeneza wao wanakwapua,imefikia hata mifuniko ya maji machafu na uzito wake wote inaibiwa na kuuzwa kwenye vyuma chakavu achilia mbali waya za umeme,weka kando mafuta ya transfoma bila ya kusahau post za alama za barabarani,inaonyesha mumeondoka zamani Bongo.
Marekebisho ni KATIBA ndio italinda kila kitu wacheni kunyooshea vidole upande mmoja.
 
Mwiba bado nakusehesabia siku umekuja na kasi mpya na ari mpya na nguvu za zamani utachuja tu hapa ni JF. Maana unamwaga pumba kila kukicha na hata kumbukumbu huna kwamba wapinzani walipinga mapesa kuongezwa .Yaani kweli huoni mbali unasema Slaa alifanya nini ? Haya weeeeeeeeeeee
 
Mwiba bado nakusehesabia siku umekuja na kasi mpya na ari mpya na nguvu za zamani utachuja tu hapa ni JF. Maana unamwaga pumba kila kukicha na hata kumbukumbu huna kwamba wapinzani walipinga mapesa kuongezwa .Yaani kweli huoni mbali unasema Slaa alifanya nini ? Haya weeeeeeeeeeee

Hapa hatuzungumzii personalities/clans per se.
Tunazungumzia realtime characters in relation to an event.
 
Hapa hatuzungumzii personalities/clans per se.Tunazungumzia realtime characters in relation to an event.

Unatumia sana wingi kama vile uko na kakikundi fulani hivi. Stand on your own sio kuimba ujumla kama mtoto wa nursery hivi!
 
Unatumia sana wingi kama vile uko na kakikundi fulani hivi. Stand on your own sio kuimba ujumla kama mtoto wa nursery hivi!

Wewe unaonyesha mjuba sana,hivi hapa upo peke yako wewe,unafanya kama watu wako ahera maana huko ndio kila mmoja atabeba mzigo wake mwenyewe,ila hapa duniani inabidi tuwe kikundi hata wazee walitupa mifano ya kijiti kimoja na vijiti vingi.
Na hapa nipo mimi akili na moyo,kwa hiyo dada taratibu utakuja kunirovya mdomo kwa mate.
 
Sina uhakika kama alisema hayo,na kama alisema basi alikuwa katika kufurahisha wengine mbona pia yupo Mbunge huko huko upinzani aliedai wabunge waongezewe chochote au hukumsikia huyo.Nikirudi kwa Slaa huyu nimemweka katika hesabu za magoigoi ukimlinganisha na Shujaa Zitto ambae hakurudi nyuma,Slaa kama si goigoi asingeliondoa moyo wa kuibua ufisadi ndani ya bunge .lakini akasema eti anaepuka kama yaliyomkuta Zitto ,ila huo ni uwongo mkubwa kuliko yote,hapa anaona mshahara na posho havitakuwepo,na kama hiyo hoja yake ya kutaka wakatwe fedha basi yeye angechukua kiasi kile anachoona kinastahiki kupata na kilichozidi akapiga makelele kwamba si haki yake na irudishwe huko huko bungeni,hapo angefahamika na kueleweka.

jamaa yaonekana anamchukia sana slaa. Sababu kubwa ya Slaa kutoa hoja ni baada ya kuona inahujumiwa, aliipeleka mapema sana kabla ya hoja ya Buzwagi, akaambiwa leta ushahidi,akapeleka ushahidi mzito,akaambiwa ushahidi unatisha utaichafua serikali, akawajibu anatekeleza wajibu wake wa kuisimamia serikali na matumizi yake,dana dana zikaanza!na kuanza! na kuendelea.Mpaka Bunge linahirishwa hoja haipo mezani? Swali la msingi la kujiuliza nini chanzo? Spika aliruhusu hoja ya Zitto akijua kwamba wanakwenda kumchinja-hawakujua kwamba mahesabu yao yaligonga mwamba!majuto ni mjukuu. Slaa bado ni shujaa aliyesimama,kilichomuhimu sio kulihutubia Bunge ambalo sana sana lingejibu hoja kipuuzi kama kwa hoja ya Kabwe, muhimu ni kwa Umma wa Watanzania kujua Nchi yao inaendeshwaje! Hoja hujibiwa kwa hoja-sio vioja!
 
Mimi Mbunge Ninayemjua Kwa Ufisadi Ni Mgana Msindai Tu Wengine Sina Hakika Sana Maana Kuna Malalamiko Mengi Ya Huyu Jamaa Kutafuna Pesa Za Watu Si Mnakumbuka Lile Bifu Lake Na Yule Mfanyabiashara Wa China Halafu Pia Nasikia Pale Rombo Green Katokomea Na Pesa Kibao Za Watu Halafu Eti Huyu Naye Ana Cheo Bungeni Nasikia Ni Mwenyekiti Wa Kamati Ya Ukaguzi Ya Hesabu Za Almashauri Za Wilaya Na Tena Nasikia Eti Huyu Mzee Hana Hata Kibanda Yeye Pesa Yote Akipata Huwa Ni Mbuzi Choma Au Kitimoto Na Demu Kwa Sana Na Ni Mgongaji Mzuri Wa Mvinyo Usiseme, Hawa Ndiyo Viongozi Wetu Tunaowategemea Mungu Iokoe Tz
 
Back
Top Bottom