LGE2024 Wabunge wote wako Kwenye kampeni za Vyama vyao kasoro Wabunge wa COVID-19 tu, kwanini?

LGE2024 Wabunge wote wako Kwenye kampeni za Vyama vyao kasoro Wabunge wa COVID-19 tu, kwanini?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wabunge wa Vyama Vyote wametawanyika nchi nzima kufanya kampeni za Vyama vyao kasoro wale wabunge 19 wa Viti Maalum waliotokea Chadema

Hii inamaanisha nini?

Mlale Unono 😀
kuna moja niko nae huku jimboni, anajitahidi kwakweli kuambatana na kuandamana na waandamizi wa CCM wilaya,

Infact,
ameamza muda mrefu kugawa jezi za michezo zenye jina lake, anagawa computers kwenye baaadhi ya shule, Lakini pia tunafurahi kwenye baadhi ya shule kagawa viatu aina ya raba shule nzima.

kuhitimisha maelezo,
ni kwamba wengi wao wako kwenye maandalizi kabambe ya kujiunga CCM 🐒
 
kuna moja niko nae huku jimboni, anajitahidi kwakweli kuambatana na kuandamana na waandamizi wa CCM wilaya,

Infact,
ameamza muda mrefu kugawa jezi za michezo zenye jina lake, anagawa computers kwenye baaadhi ya shule, Lakini pia tunafurahi kwenye baadhi ya shule kagawa viatu aina ya raba shule nzima.

kuhitimisha maelezo,
ni kwamba wengi wao wako kwenye maandalizi kabambe ya kujiunga CCM 🐒
Mko naye hapo Bukoba? 😂
 
Si umesema ni COVID-19? Watakuwa wameji-isolate wasiambukize watu
 
Wabunge wa Vyama Vyote wametawanyika nchi nzima kufanya kampeni za Vyama vyao kasoro wale wabunge 19 wa Viti Maalum waliotokea Chadema

Hii inamaanisha nini?

Mlale Unono 😀
Si hawana chama ?
1000015115.jpg
 
kuna moja niko nae huku jimboni, anajitahidi kwakweli kuambatana na kuandamana na waandamizi wa CCM wilaya,

Infact,
ameamza muda mrefu kugawa jezi za michezo zenye jina lake, anagawa computers kwenye baaadhi ya shule, Lakini pia tunafurahi kwenye baadhi ya shule kagawa viatu aina ya raba shule nzima.

kuhitimisha maelezo,
ni kwamba wengi wao wako kwenye maandalizi kabambe ya kujiunga CCM 🐒
Lost but found
 
Back
Top Bottom