UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Chama chao kinapokea ruzuku ya ubunge wao, hiyo ni kampeni kubwa ya kutosha kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Wabunge wa Vyama Vyote wametawanyika nchi nzima kufanya kampeni za Vyama vyao kasoro wale wabunge 19 wa Viti Maalum waliotokea Chadema
Hii inamaanisha nini?
Mlale Unono 😀
Covid hawajijui kama wao ni ndege ama popo ujue jinsi laana ya usaliti ilivyombaya.Wabunge wa Vyama Vyote wametawanyika nchi nzima kufanya kampeni za Vyama vyao kasoro wale wabunge 19 wa Viti Maalum waliotokea Chadema
Hii inamaanisha nini?
Mlale Unono 😀
Kama wako huru kiasi hicho mbona unaogopa kumtaja unae ambatana nae? Na yeye mwenyewe mbona anashindwa kusimama kwa uwazi kabisa kukipigia debe chama pendwa chake kama walivyofanya wale wenzao wa vyama rafiki?wanainjoy uhuru na haki ya kushiriki siasa kwa mujibu wa katiba na bila mbambamba ya mtu yeyote 🐒
🤣 🤣 🤣Wakale walipopeleka mboga!
🤣 🤣 🤣Waanzie kampeni kwenye karakana waliyoapishiwa na Jobo.