UmkhontoweSizwe Platinum Member Joined Dec 19, 2008 Posts 9,454 Reaction score 8,894 Nov 23, 2024 #21 Chama chao kinapokea ruzuku ya ubunge wao, hiyo ni kampeni kubwa ya kutosha kabisa.
M MtotoKautaka JF-Expert Member Joined Jul 16, 2018 Posts 373 Reaction score 895 Nov 23, 2024 #22 johnthebaptist said: Wabunge wa Vyama Vyote wametawanyika nchi nzima kufanya kampeni za Vyama vyao kasoro wale wabunge 19 wa Viti Maalum waliotokea Chadema Hii inamaanisha nini? Mlale Unono π Click to expand... πππ
johnthebaptist said: Wabunge wa Vyama Vyote wametawanyika nchi nzima kufanya kampeni za Vyama vyao kasoro wale wabunge 19 wa Viti Maalum waliotokea Chadema Hii inamaanisha nini? Mlale Unono π Click to expand... πππ
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Nov 23, 2024 #23 johnthebaptist said: Wabunge wa Vyama Vyote wametawanyika nchi nzima kufanya kampeni za Vyama vyao kasoro wale wabunge 19 wa Viti Maalum waliotokea Chadema Hii inamaanisha nini? Mlale Unono π Click to expand... Covid hawajijui kama wao ni ndege ama popo ujue jinsi laana ya usaliti ilivyombaya.
johnthebaptist said: Wabunge wa Vyama Vyote wametawanyika nchi nzima kufanya kampeni za Vyama vyao kasoro wale wabunge 19 wa Viti Maalum waliotokea Chadema Hii inamaanisha nini? Mlale Unono π Click to expand... Covid hawajijui kama wao ni ndege ama popo ujue jinsi laana ya usaliti ilivyombaya.
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Nov 23, 2024 #24 Unafurahia uchafu alioufanya magufuli.
F Fundi Mchundo Platinum Member Joined Nov 9, 2007 Posts 10,448 Reaction score 8,705 Nov 23, 2024 #25 Tlaatlaah said: wanainjoy uhuru na haki ya kushiriki siasa kwa mujibu wa katiba na bila mbambamba ya mtu yeyote π Click to expand... Kama wako huru kiasi hicho mbona unaogopa kumtaja unae ambatana nae? Na yeye mwenyewe mbona anashindwa kusimama kwa uwazi kabisa kukipigia debe chama pendwa chake kama walivyofanya wale wenzao wa vyama rafiki? Amandla...
Tlaatlaah said: wanainjoy uhuru na haki ya kushiriki siasa kwa mujibu wa katiba na bila mbambamba ya mtu yeyote π Click to expand... Kama wako huru kiasi hicho mbona unaogopa kumtaja unae ambatana nae? Na yeye mwenyewe mbona anashindwa kusimama kwa uwazi kabisa kukipigia debe chama pendwa chake kama walivyofanya wale wenzao wa vyama rafiki? Amandla...
Mizania JF-Expert Member Joined May 17, 2023 Posts 3,812 Reaction score 3,277 Nov 23, 2024 #26 Mwaikibaki said: Wakale walipopeleka mboga! Click to expand... π€£ π€£ π€£
Mizania JF-Expert Member Joined May 17, 2023 Posts 3,812 Reaction score 3,277 Nov 23, 2024 #27 Moisemusajiografii said: Waanzie kampeni kwenye karakana waliyoapishiwa na Jobo. Click to expand... π€£ π€£ π€£
Moisemusajiografii said: Waanzie kampeni kwenye karakana waliyoapishiwa na Jobo. Click to expand... π€£ π€£ π€£
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 23, 2024 #28 Mambo yao wameachiwa wenyewe... Cc: Mahondaw