Wabunge Wote Wasiotaka Kura za Wazi are Cowards ni wakati Muafaka Wakajitoa huko Dodoma Haraka Sana!

Wabunge Wote Wasiotaka Kura za Wazi are Cowards ni wakati Muafaka Wakajitoa huko Dodoma Haraka Sana!

- Coward that is what you are unfit to lead, ondoka kama upo huko Dodoma hufai simply hufai toka huko Dodoma waachie wanaume wanaoweza kusimama na kuhesabiwa, wewe unatetea mediocre ya kupiga kura kwa siri ili iwe nini? Utaandika katiba mpya kwa siri?

- Kaka kasome Founding Fathers wa Amerika kama walipiga kura kwa siri, infact Madison alitishia kuvunja process nzima iwapo hoja yake ya kuimarisha mahakama ingekataliwa na alismama na kusema wazi sio kwa siri, wale wote huko Dodoma ambao hamuwezi kusimama kuhesabiwa wakati muafaka sasa ondokeni huko you cowards!!

Le Mutuz

Utezezi huu hauna mashiko!
 
- Kaka ungekuwa Museveni ungefanya nini na ile sheria mpya? Ungeisaini kwa siri?

Le Mutuz

halafu wewe ni mzee ujue kila mtu unavyomuita kaka unakosea.kuna wengine hapa wanaweza wakawa wanao halafu bado unajishebedua kuwaita kaka. unajiona bado kijaaaana.
 
Hilo neno cowards ingekuwa kwa wazungu ni tusi tosha mtu kuitwa mwoga Lakini hapa kwetu hiyo ndiyo fani ya 'uzalendo'

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
- Hakuna nayetishiwa Warioba hajatishiwa sasa msiatfute maneno ya kujitetea uongo hapa, cowards waondoke huko haraka sana now!!

Le Mutuz

CCM ina wajumbe wengi kwenye baraza la katiba, Msimamo wa CCM ni serikali mbili,mawazo ya Watanzania wengi ni serikali tatu , baadhi ya wajumbe wa CCM wanataka serikali tatu. Wakipiga kura ya wazi kukataa serikali mbili mtawasulubisha na kuwaita majina ya ajabu kama vile wakina Yuda, kwa hiyo kura ya siri ndio suluhisho
 
Kutembeza waraka wa mapinduzi ndani ya chama,jee kwa nini Jirani yako Abdul Jumbe yupo kifungoni mpaka leo?

Hilo linajua kitu, njaa ya cheo.Mshika briefcase ya Bulembo na kukuwadia mademu kwa Pinto ndo linavyojua.
 
Wote wanaotaka kura ya siri ni wanafiki.waongo au waoga.mtu ambaye hataki wananchi tufahahamu alivyopiga kura nimmlaghai.hataki kuwajibishwa kwa maamuzi yake.Wamarikani wameweka rekodi ya jinsi kila mbunge anavyopiga kura bungeni.wengine wanasingizia kutaka kura ya siri kwa kuwa tunamchagua rais kwa kura ya siri.huo nao ni ubabaishaji.kwani bunge hili linachagua mtu.au kuna katiba mbili za kuchagua moja japo himaanishi usiri ungehitajika
 
Thread za kipumbavu kama hivi ungeipeleka lumumba ikapate discussion huko
 
Wote wanaotaka kura ya siri ni wanafiki.waongo au waoga.mtu ambaye hataki wananchi tufahahamu alivyopiga kura nimmlaghai.hataki kuwajibishwa kwa maamuzi yake.Wamarikani wameweka rekodi ya jinsi kila mbunge anavyopiga kura bungeni.wengine wanasingizia kutaka kura ya siri kwa kuwa tunamchagua rais kwa kura ya siri.huo nao ni ubabaishaji.kwani bunge hili linachagua mtu.au kuna katiba mbili za kuchagua moja japo himaanishi usiri ungehitajika

Nyie si ndio mliochagua mwnykti wenu kwa kura za mikoa muwajue mkoa gani wanafiki, mtashindwa kuwatishia hao wabunge wenu kwnye suala hili.
 
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi,le mutuz huu sio mchakato wa kisiasa ni wa kisheria,shame on you mtoto wa bibi(ashakumu si matusi)
 
- Coward that is what you are unfit to lead, ondoka kama upo huko Dodoma hufai simply hufai toka huko Dodoma waachie wanaume wanaoweza kusimama na kuhesabiwa, wewe unatetea mediocre ya kupiga kura kwa siri ili iwe nini? Utaandika katiba mpya kwa siri?

- Kaka kasome Founding Fathers wa Amerika kama walipiga kura kwa siri, infact Madison alitishia kuvunja process nzima iwapo hoja yake ya kuimarisha mahakama ingekataliwa na alismama na kusema wazi sio kwa siri, wale wote huko Dodoma ambao hamuwezi kusimama kuhesabiwa wakati muafaka sasa ondokeni huko you cowards!!

Le Mutuz
usituletee upuuzi wa amerika wewe mpishi wa kwenye meli
 
- Kiongozi mzima wa wananchi mwenye akili timamu kuogopa kupiga kura ya wazi? I become a coward unfit to lead kaka huwezi kuwa kiongozi wa Taifa ukaanza kulilia kura za siri hufai ondoka kwenye uongozi mara moja waachie wanaoweza kusimama wahesabiwe!! na wapo wengi tu!!

Le Mutuz

ngoja tuone mwisho wake utakuaje
 
Jarmani watu wengine. hivi mnawezaje kupitisha uozo kama huu. mwambieni huyo WJ Malecela atoe ----- huo unanuka. wewe ukipigia wabinge, madiwani name Rais huwa unajitangaza mie nimpigia fulani? Being out of Tanzania doesn't make u feel u know much than otgers.
 
Utaendelea kushindwa kila nafasi utakayogombea ndani na nje ya chamq maana hunq jipya ,
 
Mimi naunga mkono kura ya siri ili kila mmoja awe HURU kutoa dhamira yake ya Moyoni.
 
Kura ya wazi sio tatizo ila uovu uliofichwa chini ya kula ya wazi ndo tatiza,dhamira ingekuwa safi wala hakuna tatizo,nasikia bunge limetumia zaidi ya 8billion kwa ajiri ya marekebisho ikiwemo na biometric,means kula inatakiwa kuwa siri,unamaanisha rasimu ikirudi kwa wananchi nao wapige kula ya Wazi???jishugulishe kidogo ubongo wako!!!
 
- Kura ya kuchaguliwa Dunia nzima inapigwa kwa siri lakini sio ya kuandika katiba hakuna Duniani kaka, na wewe kumbe ni muoga muoga Taifa la macowards wananchi waoga waoga kama fisi hawafai huko Dodoma ondoa wote now!!

Le Mutuz

Tuambie madhara ya kura ya siri. Nijiavyo mm cowards ni wale watu wanaotaka kujificha nyuma ya mtu au kitu na kufanya au kusema kitu ambacho hata hakiamini. Mnachotaka hapo ni wanaCCM Kufosiwa kujificha nyuma ya chama na kushabikia kila upuuzi mtakaouleta hapo DODOMA. Tha is not acceptable and kura ya siri is the way forward.
 
- Katiba ya Taifa haiwezi kuandikwa kwa kura za siri wale wote wanaolilia kura za siri waondoke huko now hawafai ni cowards, waondoke now!!

Le Mutuz

wewe mchumia tumbo hujui hata unacho ongea msengerema wewe kaa kimya unaleta ushabiki kwenye mambo ya kitaifa.
 
wewe mchumia tumbo hujui hata unacho ongea msengerema wewe kaa kimya unaleta ushabiki kwenye mambo ya kitaifa.

- Na wewe unatetea waoga waoga wanaolilia kupiga kura kwa siri? duh waondoke huko Dodoma tunataka Viongozi wanaoweza kusimama na kuhesabiwa sio magoi goi wa kulia lia kama watoto wadogo!~1

Le big Show
 
Back
Top Bottom