Wacha nimpe darasa kidogo Mzee Jakaya Kikwete

Injili safi na mardadi toka Kwa mwalimu. Asante sana Pambalu
 

Halianguliwi papai mnazini.

Viongozi wetu wanatokana na sisi wananchi. Misingi yetu, vipaumbele vyetu, matakwa yetu na matamanio yetu yanaumba aina ya viongozi tulionao.

Tukiukubali ukweli huu mchungu, tutavuka hatua kubwa sana. Sana!
 
Mkuu, kwani JK ana maajabu gani, kuwa kiongozi bongo hakuna uhusiano wowote na kuwa na akili!.
Siunaona hata std 7 wamo mjengoni.
🤣🤣Jk alifeli chuo
Yani walimpa tu gentomen degree ya 2.0,au wadau waiweke hadharan?afu wauwae?🤣🤣hakuna hiyo
Jua tu,yeye, mwanae rizmoko na mkewe mwalimu wa upe kilaza🤣🤣
Pale aongee Dokta salama tu🙏👌🤣
 
Rabbon don't tag me or quote me🙏I don't interact with form four feliers 🙏🙏👌 please 🙏🙏🤔
 
Pambalu viatu vinakupwaya!!

Vijana CDM hawana hamasa na Ari kama zamani, enzi ya Mnyika na Heche BAVICHA ilifana.

Mrema anazuiwa interview star tv upo upo tu Badala ya kuruka na pena!!!

Changamka!!!

Please don't take it personal🙏🙏
 
Uko sahihi kabisa
 
Umefafanua vizuri sana.

Kiufupi ni kwamba ama Kikwete haelewi au ameamua kuwa mnafiki.

Kwa mtu mwenye hekima japo ya kiasi kidogo sana, angeona haya kwa yale aliyoyatamka. Yaani maaskofu wa Kanisa Katoliki kutoa kauli dhidi ya mkataba wa hovyo anaona ni udini, lakini CCM kuwa na wabunge maaskofu na mashekhe kuwaingiza kwenye nafasi za kiutawala, haoni kama ni kuchanganya dini na siasa!! Ajabu sana.

Kiufupi, maneno ya Kikwete ambayo kimsingi hayana ukweli wala uhalisia, na ya kuopuuzwa ba kila mwenye uelewa.
 
Sasa haya nayo si yangeambatanishwa kule nyuma ya waraka maana yameweka kumbukumbu sawa bin sawia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…