Wacha nimpe darasa kidogo Mzee Jakaya Kikwete

Bro we ni hadhina, umeongea yaliyopo kwenye mioyo ya wengi,
 
Wewe unayetaka kumpa somo JK tuambie uzoefu wako kwenye mambo ya siasa, diplomasia, serikali nk

JK ni mwanajeshi, mwanadiplomasia, mwanasiasa, mbunge wa zamani na waziri wa zamani , rais mstaafu

Naomba na wewe uweke wasifu wako tuwalinganishe halafu utaendelea kumpa somo mzee mwenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…