Hujawahi jiuliza kwanini wachaga ndo wanakufa zaidi na covid?kama baridi hata mbeya ipo,hili jambo ukitaka kuelewa litazame kiroho zaidi
Hawa ndugu zetu ndo wako vizuri zaidi kwenye masuala ya biashara na vifo vingi kutokea huko ina maana hili ni shambulio ya kiuchumi,tajiri mmoja akifa,kampuni anayoendesha kwa asilimia kubwa inaweza isisimame na ikifa wanaopata kipato kupitia huyo wote wataumia!
Tayari hapo uchumi wa wengi unakua ushapigwa
Unapoona matajiri wanakufa,maprofesa wanakatika uwaze mbali zaidi kuwa unaoshambuliwa pale ni uchumi!
Waweke kwenye maombi watu wowote unaohisi ni vyao vya mapato kwa wengine bila kujali imani yake,wakianguka hawa ndugu zetu,marafiki na jamaa wanaotegemea hapo wanaumia zaidi!
Mungu uwalinde hawa watu kwa jina la Yesu,Amen!
Hawa ndugu zetu ndo wako vizuri zaidi kwenye masuala ya biashara na vifo vingi kutokea huko ina maana hili ni shambulio ya kiuchumi,tajiri mmoja akifa,kampuni anayoendesha kwa asilimia kubwa inaweza isisimame na ikifa wanaopata kipato kupitia huyo wote wataumia!
Tayari hapo uchumi wa wengi unakua ushapigwa
Unapoona matajiri wanakufa,maprofesa wanakatika uwaze mbali zaidi kuwa unaoshambuliwa pale ni uchumi!
Waweke kwenye maombi watu wowote unaohisi ni vyao vya mapato kwa wengine bila kujali imani yake,wakianguka hawa ndugu zetu,marafiki na jamaa wanaotegemea hapo wanaumia zaidi!
Mungu uwalinde hawa watu kwa jina la Yesu,Amen!