Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Nimeona kuna baadhi ya Wachaga wameshaanza kupanda Esta na Marangu Coach kuelekea kwao.
Simu zenu hatutapokea Januari. Unaendaje Moshi mapema hivi?
Una uhakika hiyo 500k yako ita-survive mpaka Januari?
Mnaenda huko kula ada, then Januari simu zinakuwa nyingi. Hatutapokea simu
Raha ya Moshi uende kuanzia Tarehe 23 December, Tarehe 24 unakutana na majirani, Tarehe 25 Christmas, 26 unaenda kuangalia mashamba before you know it usharudi Dar.
Unapunguza gharama za maisha!
Wachaga msiseme hatukuwaambia
Nimeona kuna baadhi ya Wachaga wameshaanza kupanda Esta na Marangu Coach kuelekea kwao.
Simu zenu hatutapokea Januari. Unaendaje Moshi mapema hivi?
Una uhakika hiyo 500k yako ita-survive mpaka Januari?
Mnaenda huko kula ada, then Januari simu zinakuwa nyingi. Hatutapokea simu
Raha ya Moshi uende kuanzia Tarehe 23 December, Tarehe 24 unakutana na majirani, Tarehe 25 Christmas, 26 unaenda kuangalia mashamba before you know it usharudi Dar.
Unapunguza gharama za maisha!
Wachaga msiseme hatukuwaambia