Wachaga bana " punguzeni bei za kulipa mahariiii" Negotiation lazimaaa!!!

Wachaga bana " punguzeni bei za kulipa mahariiii" Negotiation lazimaaa!!!

achana naye piga lapa mbele wewe milioni nne zote ukalipe .. au kitu hakijaguswa nini?
Ahahahaaaaaaaah!!!! Ivuga bwana acha jamaa ajichukulie mtoto...............kitu hakijaguswa!!!
 
kaka unaibiwa wew bikra leo? chunguza upande wa pili waweza kuta umetumika vibaya mnoooooo. m4 kaka unanunua bajaji au tehe kakaaaa usijeliwa mchana kweupeeeeeee

Mmmh!! Hii tabia nasikia iko zaidi kule visiwani.................kwa hawa tunaowaongelea sidhani kama hii tabia ipo!!
 
Duh?kweli nimeamini wachaga tuna nyota ya kupendwa.ila kama siyo sisi wazaramo wangekufa na njaa hapo jijini kwa hiyo si mbaya wakitupenda na kutushukuru.
 
Hiyo mahari sio ya kichaga!!!! kwani hajaexpire huyo mchaga au siku hizi wamebadilika wanaolewa wakiwa bado wateke!!!!!!! mh mana wachaga wengi wa zamani huolewa over 30yr, i dont know what happen now dys.
 
Wachaga wanadai mahari ndogo sana bana! Mbona kuna jamaa yangu juzijuzi mtu pale Bomang'ombe kaambiwa apelekee tu Kondoo mmoja au elfu 60,000/= siku ya send-off na abebe mzigo jumla jumla?? Ina wezekana huyo wako wamemfanya kuwa kitega uchumi cha ukoo waooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Orait, hapa tunazungumzia msichana wa kichaga au bikira ambaye ni msichana wa kichaga? au mahari ya bikira, au mahari ya mtoto wa kichaga?.

Ngoja nikafungue thread nyingine.
 
Tangu lini wachaga wakolewa kwa mahari kubwa hivyo? mi najua wao huwa ni pombe na ng'ombe moja au?
 
Orait, hapa tunazungumzia msichana wa kichaga au bikira ambaye ni msichana wa kichaga? au mahari ya bikira, au mahari ya mtoto wa kichaga?.

Ngoja nikafungue thread nyingine.
Waachie wa kuja hiyo kazi bwana!
 
BTW:Vipi mmasai wako Marytina mmefikia wapi?
uliza vipi mmarangu wako mmefikia wapi?NILISEMA IN MA SRED KUWA NAMPENDA SANA MMASAI IAM PROUD KUWA NAYE, yaan my bro kama kunajambo wadada tunamwomba mungu ni kuwa na mwenza aliyejazika kwa upendo na busara.
 
Mimi nimezaa na demu wa kichagga. tunaishi naye kama baba na mama wa mtoto na siyo kama bibi na bwana. kila kitu tunachonunua, tunaandika jina la dogo.Siku tukiamua kutemana, kila kitu kitakua cha kwake na dogo kasoro computer yangu, usafiri na pamba zangu.
Kabla ya hapo, nilikua nikiishi from hand to mouth. 2 years down the lane, tunamiliki pub mbili, maduka 3, mradi wa kuku na plot. Zote kaanzisha yeye kwa kutumia jala yangu! Na bado anamipango ya projects nyingine. Sasa hivi mi nakula bata tu. Nafikiriaga kuoa, lakini hiyo kitu naiogopa kama ukoma.
 
Hao wanaodai mahari kubwa hivyo si wachaga hata kidogo.Mahari ya kicvhango ni mbege na ngombe (unaweza kupeleka nyama kidogo badala ya ngo'mbe) na vitu vingine vidogo vidogo ambavyo haviwezi kuzidi 1.5 M. Vile vile wazee wa kichagga wako flexible sana.Sion lazima ulipw mahari yote kwa wakati mmoja.wengine wanamaliza mahari wakiwa na wajukuu.Uko hapo!How wonderful is chagga!
 
lazima utakuwa mwongo hyo ni mchaga wa wapi? mahari ya kichaga alisi atawakuchakachue vp aifiki bei hyo labda umeongeza chumvi kufurahisha baraza ata hvyo ukipanga vita jipange sio kulalamika
 
Nimepata TOTO la kichaga na amenihakikishia kuwa yeye yale mambo ya kikubwa hajapitia meanz ni BK, mila za kichaga ni kwamba lazima upigwe cha juu kama mtoto wao ni BK, hesabu za fasta fasta natakiwa kulipa kama million 4 na ushee. Je wapendwa ninunue corola au nikawape wachaga waendeleze biashara ya kitimoto? Ushauri plz. Ila mamaa roho yangu imemdondokea na ningependa tuunganishe vikojoleo...!?

usiogope kuoa makabila yako mengi tu ila kila moja linatahamani yake kama moto uliokutana nao
 
Nimepata TOTO la kichaga na amenihakikishia kuwa yeye yale mambo ya kikubwa hajapitia meanz ni BK, mila za kichaga ni kwamba lazima upigwe cha juu kama mtoto wao ni BK, hesabu za fasta fasta natakiwa kulipa kama million 4 na ushee. Je wapendwa ninunue corola au nikawape wachaga waendeleze biashara ya kitimoto? Ushauri plz. Ila mamaa roho yangu imemdondokea na ningependa tuunganishe vikojoleo...!?

kwa hela hiyo lazima umeshamuwaribu sana yaani wameamua kukuuzia screpa ikiwa mpya huwa bei inapungua zaidi
 
Ah mwana kwani sio negotiable? wakikataa kupunguza tumia mbinu ya kimafia, mtia mimba utaona wenyewe wanapunguza au hata kukupa bure!
 
niachie mimi ntalipa . tuwasiliane chemba .
 
Wanajua huko akija ni kukuzalishia profit ndo maana wanakomaa na hiyo pride price.... usikonde hiyo colora inaweeza zaa benzi jikunje tu uchukue hicho kitu cha kichaga. i ensure you within 6 months kam umejipanga poa im sure utakuwa na uwezo wa kuchukua hata benz ila kikubwa uwe umeshajipanga.. they know maisha ukiacha yale mambo ya 6x6 ambayo kimsingi wewe ndo unapashwa kuwa head
teacher!!!

Thankx mkuu nitajitahidi kufikiria kile ulichoniambia
 
Back
Top Bottom