Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Ahahahaaaaaaaah!!!! Ivuga bwana acha jamaa ajichukulie mtoto...............kitu hakijaguswa!!!achana naye piga lapa mbele wewe milioni nne zote ukalipe .. au kitu hakijaguswa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahaaaaaaaah!!!! Ivuga bwana acha jamaa ajichukulie mtoto...............kitu hakijaguswa!!!achana naye piga lapa mbele wewe milioni nne zote ukalipe .. au kitu hakijaguswa nini?
kaka unaibiwa wew bikra leo? chunguza upande wa pili waweza kuta umetumika vibaya mnoooooo. m4 kaka unanunua bajaji au tehe kakaaaa usijeliwa mchana kweupeeeeeee
Waachie wa kuja hiyo kazi bwana!Orait, hapa tunazungumzia msichana wa kichaga au bikira ambaye ni msichana wa kichaga? au mahari ya bikira, au mahari ya mtoto wa kichaga?.
Ngoja nikafungue thread nyingine.
uliza vipi mmarangu wako mmefikia wapi?NILISEMA IN MA SRED KUWA NAMPENDA SANA MMASAI IAM PROUD KUWA NAYE, yaan my bro kama kunajambo wadada tunamwomba mungu ni kuwa na mwenza aliyejazika kwa upendo na busara.BTW:Vipi mmasai wako Marytina mmefikia wapi?
Nimepata TOTO la kichaga na amenihakikishia kuwa yeye yale mambo ya kikubwa hajapitia meanz ni BK, mila za kichaga ni kwamba lazima upigwe cha juu kama mtoto wao ni BK, hesabu za fasta fasta natakiwa kulipa kama million 4 na ushee. Je wapendwa ninunue corola au nikawape wachaga waendeleze biashara ya kitimoto? Ushauri plz. Ila mamaa roho yangu imemdondokea na ningependa tuunganishe vikojoleo...!?
Nimepata TOTO la kichaga na amenihakikishia kuwa yeye yale mambo ya kikubwa hajapitia meanz ni BK, mila za kichaga ni kwamba lazima upigwe cha juu kama mtoto wao ni BK, hesabu za fasta fasta natakiwa kulipa kama million 4 na ushee. Je wapendwa ninunue corola au nikawape wachaga waendeleze biashara ya kitimoto? Ushauri plz. Ila mamaa roho yangu imemdondokea na ningependa tuunganishe vikojoleo...!?
mkuu mwambie mkuu akisusa wenzie wala.niachie mimi ntalipa . Tuwasiliane chemba .
Orait, nimekusikia. nimewaacha wenyewe waliendeleze.Waachie wa kuja hiyo kazi bwana!
Wanajua huko akija ni kukuzalishia profit ndo maana wanakomaa na hiyo pride price.... usikonde hiyo colora inaweeza zaa benzi jikunje tu uchukue hicho kitu cha kichaga. i ensure you within 6 months kam umejipanga poa im sure utakuwa na uwezo wa kuchukua hata benz ila kikubwa uwe umeshajipanga.. they know maisha ukiacha yale mambo ya 6x6 ambayo kimsingi wewe ndo unapashwa kuwa head
teacher!!!