Wachaga mna matatizo gani??

Mdada/manengelo?
 
Hilo ndilo lililo kukimbiza kwa kaka blaza hadi ukaisahau miguu Msata ukaifuata kesho yake!?Ngoja nimshtue kaka blaza afanye mambo urudi kiligeni maana msimu huu ni kupashana viporo#i don't care
Yaani hao hata usingewataja, ubahiri ni wao, uchawi ni wao, ufuska ni wao, yaani wanakera jamani. Mshana Jr samahani ila ilibidi niseme tu ukweli wenu, nimeishi nanyi mpaka nimechoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…