Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
RAV4 na Stout zote ni Toyota gari imara sana milimani.Wachaga sijui nani huwa kawaroga bhana kupenda gari za hovyo hovyo za zamaniiii Escudo na RAV 4. Utakuta wamezirembaaa kama mabasi ya Upareni yenye marangirangi.
Watu wanakwenda mbele na model mpya mpya ye mchaga anarudi nyumba kutafuta magari ya zamani ambayo kila siku anashinda garage mafundi wanashinda uvunguni
wasukuma buana endeleeni kuagiza hizo mark two zenu six cylinder sisi vyombo vyetu ni vya kazi kama kawaida tukiuza landrover tunaagiza hilux mashavu au double cabinWachaga sijui nani huwa kawaroga bhana kupenda gari za hovyo hovyo za zamaniiii Escudo na RAV 4. Utakuta wamezirembaaa kama mabasi ya Upareni yenye marangirangi.
Watu wanakwenda mbele na model mpya mpya ye mchaga anarudi nyumba kutafuta magari ya zamani ambayo kila siku anashinda garage mafundi wanashinda uvunguni
Wachaga sijui nani huwa kawaroga bhana kupenda gari za hovyo hovyo za zamaniiii Escudo na RAV 4. Utakuta wamezirembaaa kama mabasi ya Upareni yenye marangirangi.
Watu wanakwenda mbele na model mpya mpya ye mchaga anarudi nyumba kutafuta magari ya zamani ambayo kila siku anashinda garage mafundi wanashinda uvunguni
Sasa na wewe Kinachokuwasha nini hapo mwenzio kupenda hzi chaguzi? Mbona unalazimisha watu wawe kama wee? DuuuWachaga sijui nani huwa kawaroga bhana kupenda gari za hovyo hovyo za zamaniiii Escudo na RAV 4. Utakuta wamezirembaaa kama mabasi ya Upareni yenye marangirangi.
Watu wanakwenda mbele na model mpya mpya ye mchaga anarudi nyumba kutafuta magari ya zamani ambayo kila siku anashinda garage mafundi wanashinda uvunguni
najivunia uchaga na ninajivunia kumiliki RAV 4 ya mwaka 1996, gari ngumu inayohimili mikiki mikiki ya mlimani, na hata mjini pia inaheshimika, spare bei rahisi na kwa matunzo mazuri hapa TZ ina miaka 11, na mimi nimeitumia kwa miaka 5 sasa
Tena adheke kabisaaaahdhekana naasi
kwenye escudo hapooWachaga sijui nani huwa kawaroga bhana kupenda gari za hovyo hovyo za zamaniiii Escudo na RAV 4. Utakuta wamezirembaaa kama mabasi ya Upareni yenye marangirangi.
Watu wanakwenda mbele na model mpya mpya ye mchaga anarudi nyumba kutafuta magari ya zamani ambayo kila siku anashinda garage mafundi wanashinda uvunguni
mti wenye matunda ndiyo huandamwa.so usiogope mkuu.mchaga ni og ww.Mtahangaika sana na sisi...na hivi ndio Christmass inakaribia hata sioni shida.Mwezi haupiti bila wachagga kujadiliwa hapa jamvini.