georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
KUNA RAIS MMOJA ALIWAITA SIJUI WAPU.......NINI SIJUIWachaga sijui nani huwa kawaroga bhana kupenda gari za hovyo hovyo za zamaniiii Escudo na RAV 4. Utakuta wamezirembaaa kama mabasi ya Upareni yenye marangirangi.
Watu wanakwenda mbele na model mpya mpya ye mchaga anarudi nyumba kutafuta magari ya zamani ambayo kila siku anashinda garage mafundi wanashinda uvunguni